Wanawake wa JF tukutane hapa

Wanawake wa JF tukutane hapa

Hivi kuna mwanamke humu ashakutana na mwanaume wa jf yuko hivi au anafanana hata kidogo ,au hata kumfikia huyu kaka ,,tuseme tu ukweli maana vidume vya humu kwa kujiona[emoji23][emoji23]havijambo
Tuseme tu ukweli wala tusifichane na msitaje id zao,,huyu mkaka ni Mtz kabisa anajiita dokta ulimwengu sasa sijajua kama ni mwanaume mashine ama la,,na nahisi muda si mrefu atawahiwa na kina wolper[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],mi huwa nikikutana na wa hivi lazima nigeuke kusafisha macho ,,mim sijawah kukutana na mwanaume wa jf,so semeni nyie [emoji23][emoji23] ,nje ya jf zamani kabla sijawa bibi niliwah kukutana na wawili kama huyu sasa wana vibamia vilivyotukuka Mungu hakupi vyote
View attachment 623985View attachment 623986
Huyu mm hanifikii hata kidogo .namkimbiza mbali sana .
 
Kaka RRONDO unamuona mama Sabrina anakuchokoza huku? Kaitoa wapi sijui hii picha yako.
Kumbe huyo Rrondo?sikujuaa
Picha yangu ni avatar yangu. Kama unamjua Paul Pogba ni pacha wangu. However nina picha nimepiga hapo hapo alipokaa huyo Dr, hapo ni Slipway ile njia unayopita kwenda kupanda boat za Bongoyo Island im sure its no coincidence umenitaja, una kesi ya kujibu.
 
Sisi tunaokaa na mabosi wa tanzania huku Dodoma kila saa tunapishana nao kama njugu na unajichagulia tu sema huwa wanajishaua sana na kitandani sifuri
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Ahahahahah
Ukikuta wa hivi na kitandani yuko poa wachache sana,,wengi wao hovyo halaf kuringa sasa eheheh kama anamiliki mgodi kumbe anamiliki kibamia kitakatifu dakika moja chali
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Huyo doctor nimemuelewa, sina tu frem ningeidownload niiprint....

Kuna jamaa humu dah story zake anavojisifiaga, anajionaga hb kuja kumuona jamani mmh kichwa kama embe!!!! Mbovuuuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hamna huyo dada alikua anasoma chuo huku akazingua akapata bwana fulani maarufu sana kupelekaa warembo China basi bidada akajua ndo atakua mke akaenda China akakaa kama miezi sita akarudi yule bwana wa China akamuacha na huyo kaka akamuacha pia maskini. Sasa hivi yupo tu wamemkula mkula wanaume wa Dar wamemwacha..
Huyo bwana wa kupeleka warembo china wakunyumba sio yule anayeanzia na herufi O
 
Back
Top Bottom