Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Nakumegea siri , polisi wamechoka mno kutumikishwa .Polisi hawakuwepo?
karibu sana mjomba๐๐๐October Msema Kweli acha tuone mwisho wa Sarakasi hizi
haijalishi .Kwani kuchukua fomu bei gani
haijalishi .
Pamoja na Kudeki barabara na Mafuriko ya 2015 na Rais wa Mioyo yenu bado hamjifunzi?๐๐๐karibu sana mjomba
Kinachojalisha ni nini[emoji848]haijalishi .
aliyekudanganya polisi wanatumikishwa nani . ..waliokuambia waambie waache kazi , wengine wataajiriwa.Nakumegea siri , polisi wamechoka mno kutumikishwa .
Mungu ibariki MbeyaMbeya, Tanzania
Kina Mama Wapo Mstari wa Mbele
Ukiona kina mama wameguswa sana basi ujue kuwa sasa mambo ni magumu sana kwa CCM Mpya 2020
Karibu kamandaSugu moto chini aah, sugu moto chini aah
Halafu we unamtajaga Mungu kama mshikaji wako mnayevuta bangi pamoja๐๐Mungu ibariki Mbeya