Uchaguzi 2020 Wanawake wa Jiji la Mbeya wamlipia fomu Mbunge wa milele wa jimbo hilo, Joseph Mbilinyi(Sugu) na kumpelekea nyumbani kwake

View attachment 1499535

Hili kwangu ni jambo jipya kidogo, kwa wanawake wenye uwezo wa kawaida kumlipia fomu Mbunge mstaafu mwenye marupurupu kibao, si jambo la kawaida hata kidogo.

Ama kwa Hakika kutoa ni moyo.
Tunajidanganya mkuu, kwa tume hii inayopokea maagizo toka kwa mwajiri kamwe tusitegemee hicho kitu, awamu hii bungeni kukiwa na wabunge wa upinzan ata watatu tu itakuwa ni maajabu ya musa, atapita kwa kishindo bt tonge litakwapuliwa asubui na mapema
 
aliyekudanganya polisi wanatumikishwa nani . ..waliokuambia waambie waache kazi , wengine wataajiriwa.
serekali isipokuwa careful, soon familia za mapolisi zinaweza kuanza kujikuta katika mazingira hatarishi kwani inaachia mbegu ya uhasama kati ya raia na polisi ikue na kuzaa.
 
Mungu ibariki Mbeya
Mungu baraka zake ni kama mvua huwa inanyesha kwa wote, waovu na wema.

Mmejipangaje kushinda!!?
Hilo ndio la msingi. Mabandiko ya faraja mitandaoni hayana mchango wowte mkubwa kwenye matokeo.

Mikakati, mikakati, mikakati.
 
View attachment 1499535

Hili kwangu ni jambo jipya kidogo, kwa wanawake wenye uwezo wa kawaida kumlipia fomu Mbunge mstaafu mwenye marupurupu kibao, si jambo la kawaida hata kidogo.

Ama kwa Hakika kutoa ni moyo.
hawajui kiasi anachopata wakijua watadai awarudishie pesa zao na riba juu hapatakalika
 
[emoji1][emoji28][emoji28][emoji28][emoji23] ..dah ila mnajifariji..sugu harudi hapo nyie muageni tu, jimbo linaenda kwa dada yetu tulia..
Nikajua anagombea dada ako kumbe ni unampigia debe tulia
 
Ndo madhara ya wanaume kuoa mke mmoja mmoja .
ona sasa mabinti wanazurura tu mitaani.
wanawake ni wengi kuliko wanaume.kila mwanaume akioa angalau wake wawili ama watatu wanawake wasingezurula hovyo namna hii.
Ungeficha ujinga wako jukwaa zima lisingefahamu upana wa ujinga wako .
 
Vituko haviishi hao ndio wanawake wa mbeya au Ni wafuasi wa machadema? "Eti mbunge wa kudumu"mbavu zangu mie[emoji23][emoji1787][emoji2960]
Unawaona hao ni wanaume?
 
"Kwani boss ungesema tu kuwa mgombea wa ubunge Jimbo la mbeya mjini awapatia fedha wanawake wa chama chake kwenda kumuchukulia form ya kugombea ubunge"

Usingeeleweka?
Yakitokea CCM yanakuwa halali sio?
 
aliyekudanganya polisi wanatumikishwa nani . ..waliokuambia waambie waache kazi , wengine wataajiriwa.
Ndio tumaini lenu siku zote, lakini kama wanadamu wanaona dhulma yenu kwa hata wapendwa wao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…