Wanawake wa Kichaga wanawapenda sana Wanaume wa Kisukuma

Wanawake wa Kichaga wanawapenda sana Wanaume wa Kisukuma

pet geo pet

JF-Expert Member
Joined
Jun 30, 2018
Posts
508
Reaction score
788
Wakuu habari.

Kwa elimu yangu hii nimesomea A. Level na chuo maeneo ya kasikazini ila katika uzoefu niliojionea uko uchagani sio siri wanaume wa kisukuma wanapendwa sana yaana ukimwambia kabila tu kuwa mimi ni msukuma hapohapo kashakupenda sijui kwanini.

Swali langu kwa nyie wachaga mbona mnawapenda sana wasukuma?
 
Wasukuma ni rahisi kuwamanipulate na kulilia mapenzi.
Ulichokiandika ndio nilichokua nafikiria kukiandika kwa kirefu zaidi,mimi pia ni msukuma na nimekulia mazingira yote bush and town kwa kifupi hao watu wanajua madhaifu yetu yote kwa kina so hio ni advantage kwao,tuko dhaifu san kwa swala la mapenzi na tunatekeka kirahisi mno
 
Back
Top Bottom