Most of Chagga Women are so manipulative, when in a relationship they want to be on top of everything na Wasukuma wengi ni dhaifu sana kwenye mapenzi. Hii hupelekea wao "kitawaliwa" ndani ya ndoa na hao Wake zao. Na hii ndiyo Wachagga wanapenda.
Kama wewe ni Mwanaume usiyetetereka na kuyumbishwa na Mwanamke, kamwe huwezi kuishi na Mwanamke wa Kichagga, mtaachana tu. Tena umkute dada wa Kichagga amesoma ana pesa na kwao pia pesa ipo, hapo hakuna rangi utaacha ona. Wachagga waacheni tu waoane wenyewe kwa wenyewe, Mwanamke wa Kichagga hatawaliki ndani ya nyumba. Marehemu wangekuwa wanaongea mngemuuliza Mzee yule aliyeachana na Mkewe na kuoa former Miss Tanzania.
Nimeandika kwa uzoefu, waulizeni Wanaume waliooa Wanawake wa Kichagga watakwambieni.