Wanawake wa Kichaga wanawapenda sana Wanaume wa Kisukuma

Wanawake wa Kichaga wanawapenda sana Wanaume wa Kisukuma

Msukuma ni rahisi kumuua kwa sumu, kichawi au kwa bastola baada ya kumudanganyishia mapenzi na yeye kubaki na Mali uliyoitafuta kwa jasho na damn. Chaga women ni zaidi ya shetwani
Msukuma ni rahisi kumuua kichawi? Wewe itakuwa unawazungmzia hawa waliokulia mjini, msukuma aliekulia Kijijini kisha akaingia town humuui kizembe hivyo.Ni watu wa mizimu kwa 100% na mali zao hazifugiki,yani ukimuua Ili ubaki na mali zake, zitapukutika moja baada ya nyingine.
 
Kama umewahi ishi usukumani au na familia za kisukuma hasa mijini utakuta wanaume ni kama mbuzi hawana sauti mbele ya wanawake.Bila shaka wanapenda kwa sababu hao wasukuma ni mazobe wanaweza endeshwa na kupelekeshwa kirahisi
Daaah,hivi mnazunguzia wasukuma gani nyie? Hawahawa wanaoamini kuwa mwanamke si chochote,wazee wa kuoa wanawake 3-9 au kuna wengine?
 
Most of Chagga Women are so manipulative, when in a relationship they want to be on top of everything na Wasukuma wengi ni dhaifu sana kwenye mapenzi. Hii hupelekea wao "kitawaliwa" ndani ya ndoa na hao Wake zao. Na hii ndiyo Wachagga wanapenda.
Kama wewe ni Mwanaume usiyetetereka na kuyumbishwa na Mwanamke, kamwe huwezi kuishi na Mwanamke wa Kichagga, mtaachana tu. Tena umkute dada wa Kichagga amesoma ana pesa na kwao pia pesa ipo, hapo hakuna rangi utaacha ona. Wachagga waacheni tu waoane wenyewe kwa wenyewe, Mwanamke wa Kichagga hatawaliki ndani ya nyumba. Marehemu wangekuwa wanaongea mngemuuliza Mzee yule aliyeachana na Mkewe na kuoa former Miss Tanzania.
Nimeandika kwa uzoefu, waulizeni Wanaume waliooa Wanawake wa Kichagga watakwambieni.
 
Wakuu habari.

Kwa elimu yangu hii nimesomea A. Level na chuo maeneo ya kasikazini ila katika uzoefu niliojionea uko uchagani sio siri wanaume wa kisukuma wanapendwa sana yaana ukimwambia kabila tu kuwa mimi ni msukuma hapohapo kashakupenda sijui kwanini.

Swali langu kwa nyie wachaga mbona mnawapenda sana wasukuma?
Vice versa could be true hawa ndugu zetu wasukuma ni washamba sana kwa mabinti wa rangi nyeupe sasa na hawa dada zetu wachagga kidogo wamependelewa rangi ndio wamekwisha kabisa. Refer kwa former late prezo alivokuwa anasifa wanawake warangi nyeupe.

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
 
Hivi dea huwa unawazaga nini et? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wasambaaa watu wa ovyoovyo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] naogopa maybe nimewalook sana down since day one. My friend kaolewa na msambaa mzuri tu and good kimaisha ila siwezi muelewa. Yaan nimeshindwaa[emoji23][emoji23] naona kama muda wowote nitamchapa vibao
 
Most of Chagga Women are so manipulative, when in a relationship they want to be on top of everything na Wasukuma wengi ni dhaifu sana kwenye mapenzi. Hii hupelekea wao "kitawaliwa" ndani ya ndoa na hao Wake zao. Na hii ndiyo Wachagga wanapenda.
Kama wewe ni Mwanaume usiyetetereka na kuyumbishwa na Mwanamke, kamwe huwezi kuishi na Mwanamke wa Kichagga, mtaachana tu. Tena umkute dada wa Kichagga amesoma ana pesa na kwao pia pesa ipo, hapo hakuna rangi utaacha ona. Wachagga waacheni tu waoane wenyewe kwa wenyewe, Mwanamke wa Kichagga hatawaliki ndani ya nyumba. Marehemu wangekuwa wanaongea mngemuuliza Mzee yule aliyeachana na Mkewe na kuoa former Miss Tanzania.
Nimeandika kwa uzoefu, waulizeni Wanaume waliooa Wanawake wa Kichagga watakwambieni.
Weweeee. Acha marehemu mengi alale na umalaya wake. Ni umalaya wake ulioua ndoa yake. Muacheni mama wa watu.. mengi kaonja kila sehem. Huyo miss mwenyewe si bado alikua anatobolewa akiwa na marehemu? Yeye ndo siyo manipulative? Na mke wa mengi was the source of rhe wealth. Muacheeeniiii.

Kungine huko upo sahihiii[emoji23][emoji23][emoji23] the point is, tukipenda tunapenda na tunakua wanyenyekevu sana ila ukijaribu kuwa mwonevu weeeree..... siku hizi nimechachuka kwasababu ya kuonewa ovyo. Nakupa muda wa kuvumilia. Nikichokaaaa ni washa nikuwashe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Msukuma ni rahisi kumuua kwa sumu, kichawi au kwa bastola baada ya kumudanganyishia mapenzi na yeye kubaki na Mali uliyoitafuta kwa jasho na damn. Chaga women ni zaidi ya shetwani
Duh kwani chagga women wao wanasemaje?
 
Wanaume malaya na hawatunzi familia ni hao wasukuma. Wake wengi kwao ni kawaida. Pia wasukuma wanawapenda wachaga ili wakizaa mtoto wa kike mweupe waozeshe kwa mahari nyingi
Hee nimecheka

Kuna msukuma huku kitaa hatunzi familia anatembea na mwanafunzi...na ni malaya mpakaa


Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Sababu ni maboya, mwanamke ukiona anakupenda sana ujue Kuna eneo anaamini atanufaika nalo baada ya muda akiona hakuna matumaini ataanzisha songombingo vita ya pili ya dinia cha mtoto.

Wanawake wanafanya jambo baada ya kukusoma na kuona fursa.Jidanganye eti mwanamke fulani ananipenda na isitoshe hakuna mwanamke mwenye mtoto akampenda mwanaume aka mume.Kama huamini ulizia wahenga.
 
Wanaume wa kisukuma wana uzito fulani vichwani, wanawahitaji wachaga ili wawachangamshe.
 
Back
Top Bottom