Hahahaaa naona mnasema Manyonyo yetu na vitako vyetuHope urassa nilijitahidi nipite kimya lakini naona nimejibana sana nitakufwa Bure.
Eti wamesemaje hapo ππ
Kuna Mmoja alisema kama scorpion eti π₯. Lakini mbona wewe ni ka slim tu.Hahahaaa naona mnasema Manyonyo yetu na vitako vyetu
Na miguu yao myembambakama fimbo za pulltable.1. Kwa misiba ya Karibuni ya watu maarufu hapa nchini (Mafuru na Ndugulile) nimegundua wajane wote ni toka Uchagani.
2. Hawa viumbe wananusa fursa na kujulia namna ya kukuza kipaji cha mume mpaka ngazi za juu. Tofauti na wanaume wa Uchagani wanaoshobokea Wadangaji Vyasaka wanakuja kuharibu familia na Mali za marehemu (RIP Dr Machache).
Orodha ya watu maarufu Wasio-wachaga, VYASAKA waliooa Uchagani
1. Mafuru (RIP)
2. Dr. Ndugulile (RIP)
3. Mhe. Dr Lameck Madelu Nchemba - BA Economics (Hons.) First Class, MA Economics, PhD.
4. Mhe. January Makamba (MP),
5. Prof Kitila Mkumbo (PhD),
6. Jumaa Awesso (MP),
7. Majizzo,
8. Rich Mitindo,
9. Prof Mukandala (PhD),
10. Nabii Mkuu Mwingira.
11. Dr Salmin,
12. Prof Lipumba (PhD).
**Manka Republic
My Rafiki ,Nani huyu ananisumbua ?Muache mywangu Tresor Mandala nampenda Sana
Niambie kamanda
Rafiki kipenzi mie ukinua wewe mbn vzr tu,navyokupenda Sasa dah,Si mlisema tunaua wanaume?mbona leo maua ghafla sana?hata mama Anna Mkapa ni mchaga
Eeehh my wangu nani kakuteka?My Rafiki ,Nani huyu ananisumbua ?
π€£π€£π€£π€£Hiyo inaitwa penzi kunoga,mahaba Niue.....Ila wewe nitakutunza nakupenda mywanguRafiki kipenzi mie ukinua wewe mbn vzr tu,navyokupenda Sasa dah,
Eeehπ€£π€£π€£π€£Hiyo inaitwa penzi kunoga,mahaba Niue.....Ila wewe nitakutunza nakupenda mywangu
Kuna Mmoja alisema kama scorpion eti π₯. Lakini mbona wewe ni ka slim tu.
πππππππππ
Nipo fresh.
Zamani hata hizp sifa kidogo hazikuwepo, ni hatua nzuri
Mjitahidi jikoni sasa
Tulialikwa na dada mmoja kwake tukale lunch(pilau mbuzi), kufika dining dada mtu tukasikia analia "..kiruuu yesu wangu, kekuu ndio umepika nini hii.."
Kekuu katoa pilau kama makande, kachumbari kama amekata na msumeno. Kekuu alitisha sanaπ
Ukwelii mchungu...ila sio tabia nzuri kwa jamii.Hata hao ambao wanaume zao ni matajiri wanatamani kuona wakiondoka ili wabaki huru na mali.
Tunayozungumza kuna wataoona tunasema uongo ila ni ukwel mtupu.kwa sasa hawaui mwili, wanaua saikolojia na ufahamu wako kidogo kidogo.
Ni zoezi la miaka hata 10.
*Utakuja anza kujiona bila yeye wewe huwezi kitu.
*Wewe ndio mtafutaji mkubwa, lakini yeye ataoekana ndio chanzo cha mafaniko ya familia.
*wewe unatafuta mali za familia, yeye anahakikisha ana mali zake binafsi na huzijui!
π€£π€£π€£Ukiona hivyo jua watoto wananyonya na kushiba hakuna mtoto ananyonya kalio mkuuπ€£