Wanawake wa Kichaga wapewe maua yao!

Wanawake wa Kichaga wapewe maua yao!

1. Kwa misiba ya Karibuni ya watu maarufu hapa nchini (Mafuru na Ndugulile) nimegundua wajane wote ni toka Uchagani.

2. Hawa viumbe wananusa fursa na kujulia namna ya kukuza kipaji cha mume mpaka ngazi za juu. Tofauti na wanaume wa Uchagani wanaoshobokea Wadangaji Vyasaka wanakuja kuharibu familia na Mali za marehemu (RIP Dr Machache).

Orodha ya watu maarufu waliooa Uchagani
1. Mafuru (RIP)
2. Dr. Ndugulile (RIP)

3. Mhe. Dr Lameck Madelu Nchemba - BA Economics (Hons.) First Class, MA Economics, PhD.
4. Mhe. January Makamba (MP),
5. Prof Kitila Mkumbo (PhD),
6. Jumaa Awesso (MP),
7. Majizzo,
8. Rich Mitindo,
9. Prof Mukandala (PhD),
10. Nabii Mkuu Mwingira.
11. Dr Salmin,
12. Prof Lipumba (PhD).
13. Andrew chenge mzee wa vijisent
 
Kama ni hivyo Jua kuwa kuna tatizo, na vijana wengi watakuwa wanashinikizwa kuingia kwenye pingu za maisha pasipo kutambuana vizuri na utakuta kuna msukumo flani kutoka kwa binti wa iwe isiwe lazima ndoa ifungwe, wakati kuna makabila mengine kufunga ndoa sio lazima sana ilimradi tu nyie ishini kwa amani mkijisikia kufunga ndoa fanya hivyo kwa wakati wenu mnaotaka nyie na sio mashinikizo kutoka kwa wazazi wa binti.
Kwanini makabila mengine nadra Sana kuolewa?
 
Mmesahau na mzee Paul Bomani
Lakini hii imekaaje lazima kuna sababu
Sababu ni hii baada ya ukoloni makabila mengine walikuwa hawasomeshi watoto wakike walikuwa wanaona mtoto wa kike ni ajili ya kuolewa wapate ngombe
Sasa mikoa ya kaskazini hasa wachaga watoto wakike walikuwa wamesoma
sasa ilipokuwa wazee wetu hawa baadhi waliosomea Makerere walivyokuwa wanataka kuoa hawakua na jinsi ilibidi waende uchagani.
Yule jamaa yetu ambaye alikuwaga raisi wetu kipindi hicho alikuwa muandishi wa habari sasa kulikuwa na disco shule ya Jangwani akaenda ndio akakutana na mtoto mbichi kwa sasa ni mama yetu mpendwa fisrt laday wa zamani.Sasa ulitegemea mheshimiwa am
We nyumbu una udumavu wa akili. Kwanza huna uhakika km hao wake zao ni wachaga, pili wanawake wa kichaga ni sawa na chawa, ni mchwa wanajua kumng'ang'ania kijana watu wakiona ana greener pasture, hawana mapenzi. Wamekuja vp vipaji vya kina Mwigulu zaidi ya kumharibia nyota yake, Mwigulu hawezi kupanda zaidi ys uwaziri kisa ni nuksi ya hilo kichaga. Halafu wachaga kwanini mna inferiority complex? Kila mara kuja kujijitumua humu mpk mmechafua hili jukwaa. Mnwashwa na nini wakati tunawajua mmetoka kwenye ufukara usioelezeka.
we mchunga ng'ombe unasemaje vile? mafukara? wachaga
hiv unajua mkoloni alikuwa anampango wa kutoa uhuru kwa wachaga maana ndio aliona wako progressive na walikuwa na wimbo wao wa taifa nyie mlikuwa mnalalia ngozi ya ngombe na kulogana
 
Sababu kubwa ni kwamba wachaga ni waaminifu.

Kama usipomkorofisha hata mkae mbali mbali mwaka mzima sio rahisi kuliwa nje kama baadhi ya wakina dada wa makabila mengine
Labda huyo anayekuja kwa mkeo asiwe na pesa, wadada wa kaskazini ni dau lako tu. Mbele ya pesa/mali hakuna mwanamke wa huko anaweza akawa na misimamo.
 
Miaka ya nyuma nilikuwa nafanya kazi kwenye kampuni Moja iliyokuwa inashughulika na mambo ya kuaandaa harusi, nilifanya utafiti wangu nikagundua katika asilimia 100 ya harusi zinazofanyika Dar basi aslimia 70 ya wanawake wanaoolewa ni kutoka uchagani wakafatiwa na Waha asilimia 10 hizo zilizobaki ni makabila mengine
Hao mademu ni wazuri, basi tu wna usenge usenge il ndo hivo kama ni mlenda totoz wazuri kwa wachaga hutoboi
 
Miaka ya nyuma nilikuwa nafanya kazi kwenye kampuni Moja iliyokuwa inashughulika na mambo ya kuaandaa harusi, nilifanya utafiti wangu nikagundua katika asilimia 100 ya harusi zinazofanyika Dar basi aslimia 70 ya wanawake wanaoolewa ni kutoka uchagani wakafatiwa na Waha asilimia 10 hizo zilizobaki ni makabila mengine
Nenda mahakamani pia ujue ndoa zinazovunjika ni zipi?
 
Back
Top Bottom