spidernyoka
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 7,557
- 20,477
unalijua panga boi bovuNasikia vya feni kama Fatou au ni maneno tu?
ukimuuliza mama hassani umechoka nije juu
Yeye : bwana wewe nichoke kwani nalimaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unalijua panga boi bovuNasikia vya feni kama Fatou au ni maneno tu?
13. Andrew chenge mzee wa vijisent1. Kwa misiba ya Karibuni ya watu maarufu hapa nchini (Mafuru na Ndugulile) nimegundua wajane wote ni toka Uchagani.
2. Hawa viumbe wananusa fursa na kujulia namna ya kukuza kipaji cha mume mpaka ngazi za juu. Tofauti na wanaume wa Uchagani wanaoshobokea Wadangaji Vyasaka wanakuja kuharibu familia na Mali za marehemu (RIP Dr Machache).
Orodha ya watu maarufu waliooa Uchagani
1. Mafuru (RIP)
2. Dr. Ndugulile (RIP)
3. Mhe. Dr Lameck Madelu Nchemba - BA Economics (Hons.) First Class, MA Economics, PhD.
4. Mhe. January Makamba (MP),
5. Prof Kitila Mkumbo (PhD),
6. Jumaa Awesso (MP),
7. Majizzo,
8. Rich Mitindo,
9. Prof Mukandala (PhD),
10. Nabii Mkuu Mwingira.
11. Dr Salmin,
12. Prof Lipumba (PhD).
Ungesema hivi.... "tukilewa huwa tunawasifia wanawake wa kichaga wana shepu nzuri iitwayo namba 9...."mkiwa bar mnawaponda wana nyonyo kubwa kalio dogo.
Kwanini makabila mengine nadra Sana kuolewa?Kama ni hivyo Jua kuwa kuna tatizo, na vijana wengi watakuwa wanashinikizwa kuingia kwenye pingu za maisha pasipo kutambuana vizuri na utakuta kuna msukumo flani kutoka kwa binti wa iwe isiwe lazima ndoa ifungwe, wakati kuna makabila mengine kufunga ndoa sio lazima sana ilimradi tu nyie ishini kwa amani mkijisikia kufunga ndoa fanya hivyo kwa wakati wenu mnaotaka nyie na sio mashinikizo kutoka kwa wazazi wa binti.
Ndo wapi huko!😀washamba kutoka milimani huko
we mchunga ng'ombe unasemaje vile? mafukara? wachagaWe nyumbu una udumavu wa akili. Kwanza huna uhakika km hao wake zao ni wachaga, pili wanawake wa kichaga ni sawa na chawa, ni mchwa wanajua kumng'ang'ania kijana watu wakiona ana greener pasture, hawana mapenzi. Wamekuja vp vipaji vya kina Mwigulu zaidi ya kumharibia nyota yake, Mwigulu hawezi kupanda zaidi ys uwaziri kisa ni nuksi ya hilo kichaga. Halafu wachaga kwanini mna inferiority complex? Kila mara kuja kujijitumua humu mpk mmechafua hili jukwaa. Mnwashwa na nini wakati tunawajua mmetoka kwenye ufukara usioelezeka.
Hata hao ambao wanaume zao ni matajiri wanatamani kuona wakiondoka ili wabaki huru na mali.95% ya wachaga ni watesaji sana.
Mtu yeyote anayetaka kuoa huko amchunguze sana huyo mwanamke. 80% hapafai kuoa.Kwa sex ni watam ila wachache sana wana keeper instincts. Wengi ni control freaks wakishajua umekolea vizuri na ukawaoa. Wamefundishwa kuwa narcisstic toka kwa mama zao.
Labda huyo anayekuja kwa mkeo asiwe na pesa, wadada wa kaskazini ni dau lako tu. Mbele ya pesa/mali hakuna mwanamke wa huko anaweza akawa na misimamo.Sababu kubwa ni kwamba wachaga ni waaminifu.
Kama usipomkorofisha hata mkae mbali mbali mwaka mzima sio rahisi kuliwa nje kama baadhi ya wakina dada wa makabila mengine
Nilikuwa nawakubali sana wachaga kwa ujasiri wao kiasi nilitamani hata nioe Mchaga.Hata hao ambao wanaume zao ni matajiri wanatamani kuona wakiondoka ili wabaki huru na mali.
Mkuu dada zangu ndo unaita loud lutanics 😀 japo hata mm uko siwezi kuoawhat about nyakyusa women?
those loud lunatics.
Hao mademu ni wazuri, basi tu wna usenge usenge il ndo hivo kama ni mlenda totoz wazuri kwa wachaga hutoboiMiaka ya nyuma nilikuwa nafanya kazi kwenye kampuni Moja iliyokuwa inashughulika na mambo ya kuaandaa harusi, nilifanya utafiti wangu nikagundua katika asilimia 100 ya harusi zinazofanyika Dar basi aslimia 70 ya wanawake wanaoolewa ni kutoka uchagani wakafatiwa na Waha asilimia 10 hizo zilizobaki ni makabila mengine
Nakazia, na ni mwanaume mjinga tu ndo anaweza akaona eti mwanamke anaboost ktk maendeleo. Hili kabila wamekuwa overated.Holy shit eti kukuza kipaji Cha mume.
Mchaga gani atakukubali ukiwa hoe hae!?
Msiwape watu umuhimu ambao hawana.
Uko ulaya, America, China, Uarabuni n.k kwenye matajiri, kuna wachaga?Ni kweli mkuu.
Wanawake wa kichaga huwa wanauwezo mkubwa sana wa kunusa harufu ya mafanikio.
Ukiona mwanamke wa kichaga yupo Bennett na wewe ujue una kitu sio bure.
Nenda mahakamani pia ujue ndoa zinazovunjika ni zipi?Miaka ya nyuma nilikuwa nafanya kazi kwenye kampuni Moja iliyokuwa inashughulika na mambo ya kuaandaa harusi, nilifanya utafiti wangu nikagundua katika asilimia 100 ya harusi zinazofanyika Dar basi aslimia 70 ya wanawake wanaoolewa ni kutoka uchagani wakafatiwa na Waha asilimia 10 hizo zilizobaki ni makabila mengine
Watu wanafkiri ni utani ila huko kunatisha sana.Mi hilo kabila hata bure sitaki kuoa.............
Kuna wabibi wanaishi somewhere kinondoni ukisiliza walivyo wafanya waume zao mpaka kufikia kifo mimi hapana
WaacheWatu wanafkiri ni utani ila huko kunatisha sana.
Ni Daktari wa binadamu mwenye PhD sio kwamba yeye ni masikiniUnadhani wao wanalitizama hilo?
Wao wanatizama ulafi wa mali tu.
Nabii Mkuu Mwingira.