mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
sasa hujakutana na binti wa kichagga, pure blood, halafu gen zI once dated a Chagga woman. Truth be told that was a fiend in a human form.
Bila Mungu kuingilia kati, angeniua yule mwanamke. 🤣🤣🤣
what about nyakyusa women?Chagga women are like Jurassic Park, they're amusing until you stop watching them from afar, behind the unbreakable glass.
You can keep them, I don't mind.
Ona sasa hawa wanaoukumbatia ufukara. Sasa ndugu yangu unaoa makalio makubwa unategemea nini? Oa kwa vigezo na kilichomo kichwani na siyo makalioni.nyie wanafki mnawasifia dada zetu hapa halafu mkiwa bar mnawaponda wana nyonyo kubwa kalio dogo.
enewei wakija huko tunawapa mission na watawanyoosha.
95% ya wachaga ni watesaji sana.Ila moto waliupata.
Kuna mmoja hapo aliwahi kupigwa na stuli ya ugoko hadi goti likateguka...😂
Kuna huyo mwingine anae fuata aliuona moto hadi akaamua kuama na kuisusia nyumba akaenda kuishi kwa mpango wa kando..😜
ni kwamba tu tunapenda kuelimisha mabinti zetu kwahiyo hawaishi kimakengeza.95% ya wachaga ni watesaji sana.
Hata mimi nikizaliwa tena nitaoa mwanamke wa kichaga "Anakunyima Hela harafu anakuuliza Hela ziko wapi na umeingiza shilingi ngapi leo"Mabinti wao,watamu sana
ila wana tu baby face fulani rangi ya mtume"Wana nyonyo kubwa kalio dogo"🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣Nakuheshimu sana Ushimen tafadhali...Ila moto waliupata.
Kuna mmoja hapo aliwahi kupigwa na stuli ya ugoko hadi goti likateguka...😂
Kuna huyo mwingine anae fuata aliuona moto hadi akaamua kuama na kuisusia nyumba akaenda kuishi kwa mpango wa kando..😜
Hao ndio mama zetu na dada zetu mkuu halafu hatupendi wateswe na shida ndogo ndogo🤣ila wana tu baby face fulani rangi ya mtume
Naona kipindi hiki upepo umevumia sana Kaskazini wakwetu...."Wana nyonyo kubwa kalio dogo"🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hichi kidem kifupi kama Kimba🤣 kumbe ndio mkeo huyo! Pole na starehe za Gubuwajanja tumeoa kaskaziniii....mke wangu anarun shamba langu na tuna ngombe wa maziwa zaidi ya 120..tunavuta mpunga kimya kimya tuu
View attachment 3167418