min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Hao ni wavivu wanaokosa kasi yakuendana na watoto wa kichaga , mdogo wangu wenyewe alikua na goigoi kama hilo nikamwambia apige chini hakuwaza mara mbili bwashee.Wamekosa hoja wanaleta matusi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao ni wavivu wanaokosa kasi yakuendana na watoto wa kichaga , mdogo wangu wenyewe alikua na goigoi kama hilo nikamwambia apige chini hakuwaza mara mbili bwashee.Wamekosa hoja wanaleta matusi.
i second u.Upuuzi mtupu
Ghwalyandileko kalumbu?I once dated a Chagga woman. Truth be told that was a fiend in a human form.
Bila Mungu kuingilia kati, angeniua yule mwanamke. 🤣🤣🤣
😂😂😂yaah, chagga purehuyu kibonde kumbe ni manka?
nyie wanafki mnawasifia dada zetu hapa halafu mkiwa bar mnawaponda wana nyonyo kubwa kalio dogo.
enewei wakija huko tunawapa mission na watawanyoosha.
Wacha bhana...😳Hawaoleki sk hz ndio maana wanajipiga promo humu
😂😂
Mimi nimezaa na Mchaga,Mnyakyusa,Mtutsi,Mngoni na Mnyiramba.Nimezaa Na Mchagga, Msukuma, Mhangaza Na Mmwela. Kila mtoto wangu ni first born
1. MafuruDr. Faustine Ndugulile
Watu porini (Chasaka)bana watu mnachuki Sana na wachagga aiseeWe nyumbu una udumavu wa akili. Kwanza huna uhakika km hao wake zao ni wachaga, pili wanawake wa kichaga ni sawa na chawa, ni mchwa wanajua kumng'ang'ania kijana watu wakiona ana greener pasture, hawana mapenzi. Wamekuja vp vipaji vya kina Mwigulu zaidi ya kumharibia nyota yake, Mwigulu hawezi kupanda zaidi ys uwaziri kisa ni nuksi ya hilo kichaga. Halafu wachaga kwanini mna inferiority complex? Kila mara kuja kujijitumua humu mpk mmechafua hili jukwaa. Mnwashwa na nini wakati tunawajua mmetoka kwenye ufukara usioelezeka.
🤣🤣🤣🤣🤣 Hongera kwa kuachana na deniLile jambazi nimeachana nalo tu, nikanenepa ghafla, stomach ulcers zikapona na michongo yangu yote ikatick. 🤣🤣🤣
Naelyendile kanunu kikolo.Ghwalyandileko kalumbu?
Safi sana, dada yetu apeleke wapi kiumbe mzito namna hiyo.Hao ni wavivu wanaokosa kasi yakuendana na watoto wa kichaga , mdogo wangu wenyewe alikua na goigoi kama hilo nikamwambia apige chini hakuwaza mara mbili bwashee.
Acha uongo kiumbe mzito wewe nani akutafute...?Ile manzii, ishapita miaka 15 lakini bado inanisumbua yani. 🤣🤣🤣
Ndio, ni vifungua mimbaKimahesabu upande wako inakataa.Labda kwa hao wanawake.
Andy Chenge kachukua jiko upareni. Ana makosa mengi lakini sio katika kuchagua jiko.Jaji Joseph Warioba
Endrew Chenge
General Mabeyo
Nape Nnauye.
Jumaa Aweso