Wanawake wa Kichaga wapewe maua yao!

Wanawake wa Kichaga wapewe maua yao!

Andy Chenge kachukua jiko upareni. Ana makosa mengi lakini sio katika kuchagua jiko.
Hivi Ndugulile naye Ni Mkerewe?
Maana wakerewe hawapendi kuoa kwao.
Dada zao hawaoleki.
Ukinionyesha MTU maarufu ambaye sio Mkerewe au mgita aliyeoa Ukerewe na ndoa ikadumu nabadili ID
Vizuri kwa kuweka sawa kuhusu hapo kwa Chenge, Pia kuna yule alikuwa mbunge

wa Kigoma anaitwa Nsanzugwako nae kaona Mchaga anafanya kazi NMB

Ndugulile yeye alikuwa ni Mnyamwezi wa Tabora.

Hao Wakerere na Wajita huwa wanashida gani ?
 
Wazazi wangu wanamiliki hostel binafsi karibu na mabibo hostel wanaishi wanafunzi wa udsm

Huwa naisimamia hiyo hostel na huwa wanaishi mabinti 72 wa udsm kila semester

Ukweli mchungu kila mwaka asilimia 80 ya wateja wetu ni mabinti wa kichaga. Mpaka nawaza kwamba wachaga peke yao ndio wanasomesha mabinti udsm ama shida nini ?
 
Back
Top Bottom