Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Dah wewe na TAJIRI MKUU WA MATAJIRI ni chief producer wa single motherMimi nimezaa na Mchaga,Mnyakyusa,Mtutsi,Mngoni na Mnyiramba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah wewe na TAJIRI MKUU WA MATAJIRI ni chief producer wa single motherMimi nimezaa na Mchaga,Mnyakyusa,Mtutsi,Mngoni na Mnyiramba.
Mhahaha😀 toka lini uaminifu ukakaa pamoja na mroho wa pesa?Sababu kubwa ni kwamba wachaga ni waaminifu.
Kama usipomkorofisha hata mkae mbali mbali mwaka mzima sio rahisi kuliwa nje kama baadhi ya wakina dada wa makabila mengine
Andaa na kiwanja Cha kukuhifadhi baada ya mautiNataka nioe mchaga mkuu, ebu nishauri..😑
Kwani wakerewe wana shida gani kubwa?Andy Chenge kachukua jiko upareni. Ana makosa mengi lakini sio katika kuchagua jiko.
Hivi Ndugulile naye Ni Mkerewe?
Maana wakerewe hawapendi kuoa kwao.
Dada zao hawaoleki.
Ukinionyesha MTU maarufu ambaye sio Mkerewe au mgita aliyeoa Ukerewe na ndoa ikadumu nabadili ID
Yanakuja kama ………?Maandishi kama yanakuja yanakataaa hivi
Kwa Leo lala mama chanja muda umeenda sana....Kuna kesho!Yanakuja kama ………?
Sawa 😊Kwa Leo lala mama chanja muda umeenda sana....Kuna kesho!
Mhhh mmhh alikuumiza wapi ?kuna jamaa alisema hivyo aliniumiza sana
Nina mtoto na Mrusi na Mbulgaria.Hukuza na mrusi Yule demu Natasha wa b52 club mkuu kweli
Tumeambiwa tuijaze dunia,haijazwi kwa kulana tuu,bali kwa kutengeneza watoto.Hukuza na mrusi Yule demu Natasha wa b52 club mkuu kweli
Lakini mwisho wao ni mauti ya mapema kabisa, naapa sintokuja kuoa mwanamke wa kichaga, Wala sintokuja kutongoza mwanamke wa kichaga, Bora nife masikini.1. Kwa misiba ya Karibuni ya watu maarufu hapa nchini (Mafuru na Ndugulile) nimegundua wajane wote ni toka Uchagani.
2. Hawa viumbe wananusa fursa na kujulia namna ya kukuza kipaji cha mume mpaka ngazi za juu. Tofauti na wanaume wa Uchagani wanaoshobokea Wadangaji wanakuja kuharibu familia na Mali za marehemu (RIP Dr Machache).
Orodha ya watu maarufu waliooa Uchagani
1. Mafuru (RIP)
2. Dr. Ndugulile (RIP)
3. Dr Lameck Madelu Nchemba (PhD),
4. Mhe. January Makamba (MP),
5. Prof Kitila Mkumbo (PhD),
6. Jumaa Awesso (MP),
7. Majizzo,
8. Rich Mitindo,
9. Prof Mukandala (PhD),
10. Nabii Mkuu Mwingira.
11. Dr Salmin
Kishimbe wa KishimbeUkiona hivyo jua watoto wananyonya na kushiba hakuna mtoto ananyonya kalio mkuu🤣
Wengine wana ukimwisasa hujakutana na binti wa kichagga, pure blood, halafu gen z
utalia
Tresor MandalaSi mlisema tunaua wanaume?mbona leo maua ghafla sana?hata mama Anna Mkapa ni mchaga
Nenda uzi wa kula tunda kimasihara urekebishe hii kauli yakoSababu kubwa ni kwamba wachaga ni waaminifu.
Kama usipomkorofisha hata mkae mbali mbali mwaka mzima sio rahisi kuliwa nje kama baadhi ya wakina dada wa makabila mengine
Mkuu kinamna flani naweza kukubaliana na wewe...Wakinga ndo kabila la kuoa