Wanawake wa Kichaga wapewe maua yao!

Wanawake wa Kichaga wapewe maua yao!

Baadhi ya Pisi za kichaga ni Kali kimuonekano ila kitandani ni mazezeta.


Unaliweka hivi lenyewe linakaa vile. Sijui Huwa wanalelewaje!


Hii kabila sio Kwa mtu anaetaka kupiga show
 
Ila moto waliupata.
Kuna mmoja hapo aliwahi kupigwa na stuli ya ugoko hadi goti likateguka...😂
Kuna huyo mwingine anae fuata aliuona moto hadi akaamua kuama na kuisusia nyumba akaenda kuishi kwa mpango wa kando..😜
Hahaha yupi alisusia nÿumba?
 
Mi ni mchagaa pure kabisa ila sijawahi kuwa na mahusiano na mwanamke wa kichaga na hata huyu mke wangu sio mchagaa
Watoto wangu ni machotara!
Mzee wangu alinikanya nisioge mchagaa mwenzangu
Wanawake wa kichaga sio poa nikiwaangalia kaka zangu wanavyoteseka acha tu
 
Unajua kwa nini kijana? Miaka tunakua sisi ni jamii ya kichaga tu ilikua inapeleka watoto wa kike kwa wingi shule, so ndio wanawake pekee waliokua accessible kwa vijana wanaosoma/wasomi kama hawa ambao umewataja hapa. Ilikua ni nadra sana kumkuta binti mzuri wa kinyamwezi hadi Lipumba akutane naye chuo au wa kinyiramba hadi mkumbo amkute pale jalalani, na wengine wote. Kwa sasa baada ya shule za sekondari kuongezeka miaka ya mwanzo ya 90 ndipo jamii zingine zikajaa pia vyuoni hasa kuanzia miaka ya 2000+ ndio maana sio wachaga tu wanaopata elimu ya chuo hadi wao tu ndio waolewe na wasomi, japokuwa bado kila darasa vyuo vyote ukihesabu utakuta wadada wa kichaga bado ni wengi zaidi ya jamii zingine!

Huu mtazamo wa kibaguzi na kipuuzi utaelekea jalalani muda unavyosogea na watoto wa kike wa jamii zingine wanavyozidi kupata elimu
Kama kweli vile, kwenye darasa letu chuo kulikuwa na kina mis lymo, miss massawe, ms lema, ms tarimo, ms mtei ms lyamuya na ndio walikuwa wengi.
Aisee bwasheee hebu nitafutie mrembo hapo rombo mashati nioe
 
Fredrick Summaye
Benjamin mkapa
John Mongela
Hawa pia wameonja Kilimanjaro!!
Na alokuwa Rais wa znz Salmin Amour nafikiri na yy kaonja kilimanjaro kampiga kisawasawa na yuko mmoja mshikaji wangu kaoa mchaga akanunu nyumba mikocheni akamaundikia mke wake ,pia bibi kachukua nyumba na talaka akaomba .
 
1. Kwa misiba ya Karibuni ya watu maarufu hapa nchini (Mafuru na Ndugulile) nimegundua wajane wote ni toka Uchagani.

2. Hawa viumbe wananusa fursa na kujulia namna ya kukuza kipaji cha mume mpaka ngazi za juu. Tofauti na wanaume wa Uchagani wanaoshobokea Wadangaji Vyasaka wanakuja kuharibu familia na Mali za marehemu (RIP Dr Machache).

Orodha ya watu maarufu Wasio-wachaga, VYASAKA waliooa Uchagani
1. Mafuru (RIP)
2. Dr. Ndugulile (RIP)

3. Mhe. Dr Lameck Madelu Nchemba - BA Economics (Hons.) First Class, MA Economics, PhD.
4. Mhe. January Makamba (MP),
5. Prof Kitila Mkumbo (PhD),
6. Jumaa Awesso (MP),
7. Majizzo,
8. Rich Mitindo,
9. Prof Mukandala (PhD),
10. Nabii Mkuu Mwingira.
11. Dr Salmin,
12. Prof Lipumba (PhD).

**Manka Republic
Kwanza mke wa mwingira ni mmeru sio mchagga. Pili sipendi ukabila
 
Ila moto waliupata.
Kuna mmoja hapo aliwahi kupigwa na stuli ya ugoko hadi goti likateguka...[emoji23]
Kuna huyo mwingine anae fuata aliuona moto hadi akaamua kuama na kuisusia nyumba akaenda kuishi kwa mpango wa kando..[emoji12]
kwa taarifa tu kati yawanawake wenye uvumilivu ni wachaga.
mnawaonea bure mi wa kwangu ana utu na mshauri mzuri na mlezi bora wa watoto
 
Back
Top Bottom