Wanawake wa kichaga wote jehovah awabariki sio kwa huyu bikra aisee nampenda sana

Makonde plateu

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2022
Posts
1,443
Reaction score
3,480
Sikuwahi kuamini ipo kama nitaweza kukutana na bikra wa mwanamke wa kichaga ila mimi nimejonea laivu na mimi ndiyo nimeitoa aisee yaani sio poa poa kabisa demu wa kichaga ana mapenzi balaa asikuambie mtuu

Baada ya kuvutiwa na huyu binti ambaye nimemkuta ana miaka 30 ila nimekuta hymen ipo closed aisee yaani mie ni first wani ambaye nimemtoa damu kwa hilo mademu wa kichaga mbalikiwe

Na kuna tafiti inasema 60% ya wasichana wa kichaga ni bikra hii tafiti hawakukosea na pia 60% ya wanawake wa kichaga wa roho mzuri sana

Baada ya kuvutiwa nae naenda kesho kwao kutoa mahari yoyote ile wataonitajia na huyu binti ni kutoka machame baba yake ni tajiri sana hapo Arusha kiufupi familia yao ni matajiri kwahiyo mimi nimejiatach hapo hapo wakuuu! Yehovah wabariki wanawake wa kichaga
 
Wewe kabila Gani?
 
Hiii iliyoandika hapa siyo akili ya Kichwa cha Juu. Ulichotumia kufikiri na kuandika ni akili ya Kichwa cha Chini. Tafuta maji baridi unywe utulie utafute uzi wa Ufoo Sarro uusome, tafuta Uzi wa Kesi ya Mke wa Bilionea Msuya uusome, Tafuta Uzi wa Kifo cha Mtoto wa Makongoro Nyerere kuzikwa Ukweni halafu ndio ulete uharo wako.
Mwanaume Mziiiiima na akili zako unachagua mwanamke kisa utajiri wa baba yake, punguza kitonga weweee
 

Tumshtue mwamba au tumuache kwanza 😀
 
Miaka 30 ana bikra, ni og au ya Kichina?
 
RIP kamanda!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…