truegooner
JF-Expert Member
- Apr 23, 2014
- 779
- 338
Mkuu thibitisha madharau yangu kwa watu wa mbeya'soma vizuri pale juu'nimezaa nao'mimi ni mkwe mbeya'kusema hawajui kukataa ni uongo?au thibitisha kuhusu guest bubu za bei rahisi'nimekaa pale mbeya sana mkuu'usinisome sivyo
washari km wanawake wa kihaya...THOU I HATE GENERALIZATION BT MAJORITY NDO WAPO IVO..sjui kwa vile wana maumbo makubwa...nishawai kupanga nyumba moja na wahaya then wanyakyusa wana swaga flan ivi za kibfu bifu wanapenda kuwa kiongoi/msemaji mkuu/director ata km akil yake inamfaa awe mfagizi au mlinda geti...WENGI WAO WASHARI..then si wachoyo wa ile MAMBO....AFU WANAPENDA MAFAGIO ao acha tu
m ready 4battle.
Haha hatufanyi hako kamtindo mkuu unatuonea wanawake wa kinyakyupole ndugu yangu.....huo ukarimu ulikuwa una maana yake ati...si bure....
nasikia katika makaka unaotambulishwa kuna wengine sio, ni waume wenzio hao.....
unakuta mgeni kakaribishwa nyumbani, kapewa na hifadhi ya siku 2, 3..
mume ukatambullishwa kuwa ni shemejio huyo.......
lol..unakuta kilichojificha nyuma ya pazia....kumbe ni mume mwenzio...lol..
sijui wameacha siku hizi haka kamtindo?
Haswaa 100%proud kyusa hata msemeje,na hakuna madem wanajiheshimu na kuchakarika tz km kyusa.kaoe mchaga au mrangi ujute kuzaliwa
ha hahaa....means ana nuka au ??kaoge.
hahaaa...akaoge na magadi ...INA maana ana nuksi au ""?Hawa watu ni hard worker sana, mwanamke wa kinyakyusa namlinganisha na mwanaume wa kichaga, ukitaka ku prove, nenda Zambia, malawi. botswana zimbabwe na SA utawakuta huko ndio wafanyabiashara wakubwa. hawapendi biashara za kukaa sehemu moja, kwa hiyo kama una mipango ya kuoa uwe tayari kumruhusu kusafiri na biashara zake.
Kama ni mfanyakazi, kwa kweli wako very firm and you cant twist them, ni wakarimu na wana heshima sana kwa watu wanaowaheshimu.
Kusema hawajui kusema no, naweza kukubali, but binafsi na kwa uzoefu wangu, hakuna hata kabila moja ambalo wanaweza kusema no kwa kizazi hiki.
Mkuu Mayenga, fanya utafiti halafu uje hapa utuambie kama kuna kabila umeomba halafu ukakataliwa, vinginevyo ntakuomba ukaoge na magadi
mambo ya zamani hayo,zama zimebadilika.Mbona ndugu yangu kaoa MRANGI maisha mazuri ndoa ina miaka 12?proud kyusa hata msemeje,na hakuna madem wanajiheshimu na kuchakarika tz km kyusa.kaoe mchaga au mrangi ujute kuzaliwa
ha hahaa...Rose pole kwa yaliyokusibu
ila shukuru hukulogwa
hahaaaa hahaaWanyakyusa wamezidi bw. Acha kupinga ukweli. Babu wa Louwongo (Mwaisapili) ni mnyakyusa, waimbaji gospel (wasanii) wengi ni wanyakyusa, wahubiri wengi kina Mwakashenge ni wanyakyusa......
Ila hili la kuua wenye vipara nina rafiki yangu alipangiwa kazi Mbeya, siku moja akiwa dukani jioni aliona watu wakimfatilia. Alipowasikiliza vizuri akakuta wakipiga bei kichwa chake (ana kipara kama ngoma ya kitongoji). Alikimbilia polisi na tangu wakati huo ukimwambia WANYAKYUSA anapiga magoti na wakuwaombea dua mbaya.
hahahahahahhahahahahahahahahahhahahahahaWanawake wakinyakyusa wana ndevu sijajua kama ni Genetic ama vipi?
daaahh "" nimefuatilia mjadala...wewe igwe unaubishi wa asili "" aisee.." muungwana huwa anakubali mapungufu yake na kuangalia alipojikwaa ili kama kuna kisiki aking'oe " siku zijazo akijakupita hapo asiweze kujikwaa tena ...inamaana watu wrote waliotoa shuhuda zao Humu wana wasingizia ”? niwachache mnoo waliotoa shuhuda zao ambazo zinawasifu dhidi yenu" wengi mnooo"" wamesema kuwa mnatabia " ovu "sio kuchachamaa mkuu,na suala la kupenda chini nafikiri ni tabia ya mtu binafsi na kamwe kabila la mtu halihusiki kwenye hili...wivu mm ndio sijakuelewa kabisaa unamaanisha nini kiongozi wangu...sula la kupanga frem kwa mnyakyusa ni mapatano yenu_kwa hiyo terms and condition apply