Wanawake wa Kinyakyusa

Status
Not open for further replies.
Kwa hili upo sahihi kabisa!
mimi wanangu hawana kabila ,kwani hiyo mixed grill ya makabila kwa upande wa mama yao ni balaa tupu hata mimi mimi wazazi wangu ni mseto usipime lakini nimechagua kuwa Mwalafyale badala ya kuwa Shirima
 
kwan nimekataa wanaume wasiwe kichwa cha nyumba?

unless othwise unambie AUJANIELEWA NIMEMAANISHA NINI JUU YA UDUMELISM...thats wanaume wa kinyakyusa wanapenda sana udumelism..

UDEMELISM maana yake ni: imani ya kwamba PEDI ni kwa ajili ya wanawake,umezoe mwanaume unaoshare naye PEDI eeh,sio wa kinyakyusa...
 
wanapenda kujibust
kujiona wao ndo wao
wanajua kila kitu
wanataka waongoze kwa kila sekta
kujifanya wamjiniiii kumbe mweeeeeeeeeeeee katoka kyela jana
Hivi wanawake wanaoponda sana wenzao ni kabila gani vile?
 
Mkuu thibitisha madharau yangu kwa watu wa mbeya'soma vizuri pale juu'nimezaa nao'mimi ni mkwe mbeya'kusema hawajui kukataa ni uongo?au thibitisha kuhusu guest bubu za bei rahisi'nimekaa pale mbeya sana mkuu'usinisome sivyo

Ulikuwa hutumii Condom eeh...
 
UDEMELISM maana yake ni: imani ya kwamba PEDI ni kwa ajili ya wanawake,umezoe mwanaume unaoshare naye PEDI eeh,sio wa kinyakyusa...


Hii post ni uthibitisho wa yaliyoongelewa, mtoa mada, kazi kwako. Kama hujakimbia bado, nakushauri ujifunike mwavuli, hili povu ni zaidi ya la CHIBUKU(pombe bora)
 

Kwa tuliobahatika kuaoa huko we acha tu,wanashare nasi maisha kiukweli...naenjoy misha.ni ndoa yangu ya pili baada ya wa kwetu kumshindwa kwa kuwa alitaka niwe kama mme ***** sababu tu ya yeye kufanya kazi moja ya mashirika ya UN. huyu Mnyakyu nimegoti mwisho wa reli,ni MKARIMU japo sometimes anagangamala hataki kuonewa hata...
 
"Niangusage weeee! Si sambi sako mwenyewe!! Nikubali useme mi malaya ...niangusage weeee" hizo ndo swaga zao.
 
"Niangusage weeee! Si sambi sako mwenyewe!! Nikubali useme mi malaya ...niangusage weeee" hizo ndo swaga zao.
NO NO NOOOOOOOOOP!
Huna information nzuri za kabila linaloongelewa!
Wanaodaiwa kusema hivyo ni WANYALU toka Iringa!
Fuatilia vizuri!
Wanyaki wanaingia kwenye kamchezo kwa knowledge na mutual risk...nothing short, nothing more!
 
Kusema kweli hawa jirani zangu ni wakarimu sana na wana tabia nzuri.
Mapungufu waliyonayo ni ya kawaida ambayo kila binadamu anayo..


Kweli kabisa nakupa mia kwa mia
 
Inatakiwa mtu kabla hujaanza kuchangia una declare interest maana wengine hata makabila yenu mnaogopa kutaja,afu mseme kwenu mlienda mara ya mwisho lini. Na kwa uliyeuliza swali tabia inategemea na mtu,kuna wanawake wanyakyusa wana tabia nzuri wengine mbaya,so kama unataka kuoa mchunguze kwanza.

Mimi ni nyakyusa 100%
 

nine ngwitika nkamu!........
 
Igwe ukishusha pumzi nitakupa ya mwisho, kwa sasa naona nitazidi kukusumbua.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…