Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 19,976
- 32,195
Aman iwe nanyi wapendwa wa mungu
Husika na kichwa cha habar hapo juu
Wanawake wa kanda ya usukuman yaan wasukuma ni watu wenye hekima sana wapole na wavumilivu na wenye kujituma sana, kama una ndugu yako kaoa msukuma au wewe mwenyewe umeoa msukuma utanielewa kwa hili nisemalo
Kwa mfano mama yetu mama Janet magufuri ni mwenye hekima na ni mpole sana jaman
Ukiachana na upole vile vile pia wana misimamo yao isiyoyumba wala kuyumbishwa na mtu yeyote wakiamua wameamua
Kwa mfano dada yetu frola alipomchoka yule Mario mbasha akamtema na kuolewa na daud kusekwa
Wanawake wakisukuma mumebarikiwa sana
LONDON BABY
Sent using Jamii Forums mobile app
Husika na kichwa cha habar hapo juu
Wanawake wa kanda ya usukuman yaan wasukuma ni watu wenye hekima sana wapole na wavumilivu na wenye kujituma sana, kama una ndugu yako kaoa msukuma au wewe mwenyewe umeoa msukuma utanielewa kwa hili nisemalo
Kwa mfano mama yetu mama Janet magufuri ni mwenye hekima na ni mpole sana jaman
Ukiachana na upole vile vile pia wana misimamo yao isiyoyumba wala kuyumbishwa na mtu yeyote wakiamua wameamua
Kwa mfano dada yetu frola alipomchoka yule Mario mbasha akamtema na kuolewa na daud kusekwa
Wanawake wakisukuma mumebarikiwa sana
LONDON BABY
Sent using Jamii Forums mobile app