Wanawake wa kitanzania hawafai, wacha nitafute another race or culture

Watu wanajuiliza Kwanini ndoa NI ngumu, ndio lazima iwe ngumu sababu inakitu cha kiroho ndani ,ndoa,uchumi au soko, position au mamlaka,sheria na muda ivyo NI viwanja vya vita za kiroho jipange vizur kiroho ukitaka kuingia kwe izo field na nikuambie hata ukachukue mke visiwa vya Hawaii mziki NI uleule mpaka utakapotambua nguvu za kiroho ndo zinaendesha huu ulimwengu.
 
Wapo afu vizur maana wanatengeneza kwa mazoezi usitake makubwa taka mazuri
 
Tena uko utakapoenda utakutana na kitu kinaitwa 50'50 hiyo ndo itakurudisha Afrika, afu ukimpiga na wewe NI mweusi ukapelekwa mahakama za kule kwao utafanywa mbaya .
 
Kataa Ndoa
 
Whether I'm smart or not doesn't bother me, but I'll always be true to myself, I'll always put Africa [emoji288] in my heart with everything that belongs to it. I can't date a woman [emoji151] whose skin looks like a pig[emoji241].
being black is a curse
 
i learnt more from you than any one in my life.
 
Unahitaji msaada wa kisaikologia, uliyeandika uzi huu nina maswali mawili :
1.Kwakuwa wewe ni zao la ndoa ya kiafrika (au wazazi wako hawakuoana), je unajumlisha hata mama yako kwenye huu utafiti uchwara?

2.Kama jibu ni HAPANA urudi kuwataka radhi watanzania. Inaonekana umesoma ila HUJAELIMIKA bado unaamini katika WHITE SUPREMACY!
HAPPY HUNTING
 
1. may be. so i can lower my hate, but it comes from years of trying. i study psychology. so i know its not a mental condition. since i can reason it.

2.answer : generally every one. black skin has issues and we cant ignore that. its being worsening with time and worse we multiply this bad genetic to the world.
 
Ana hoja pia, asikilizwe. Tatizo ni moja tu umeandika uzi sehemu ambayo watu wengi walishayakoroga na wapo kwenye pingu za maisha so tegemea negative impacts
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…