Wanawake wa kitanzania hawafai, wacha nitafute another race or culture

being black is a curse
Hahaha! Naona umefuta reply yako ambayo sikuijubu sababu nilikuwa sina muda. Ila niliiona.

Ngoja nimuelimishe huyu mpuuzi.
Wewe sio a Black Person. Wewe ni mwafrika. Sababu maana ya Black either ni rangi au mtu mwenye asili ya Africa. In English: "Black is someone of African ancestry" na sababu moja ya dictionary kusema "African ancestry" badala ya "African Ethnicity" ni special reference kwa watu waishio, waliozaliwa nje ya Africa au wasio na direct contact na Present Africa kivyovyote, haswa watumwa. Sababu hawana kwao tena. Means hawawezi kuitwa Africans straight away, bali wataitwa people of African ancestry au kwa kifupi Black. Haswa kwa wamarekani weusi. Na wewe hauwezi kuwa na African Ancestry kama Black Americans, sababu wewe ni an actual African. Sisi ndio the ancestry. Na sisi ndio people of African ethnicity. Hivyo kivyovyote wewe si na kamwe hauwezi kuwa au kuitwa Black hata uende Marekani au nje ya Africa leo. Bali wewe ni Muafrika. Utajulikana kama an African person, kama watu wote wenye kwao as for Asians, Europeans, Arabians na Indians. Na sio Black.

Hivyo if anything, hii comment yako inamaanisha ni laana kuwa mmarekani mweusi.

Huyu jamaa baada tu ya kujua maneno mawili ya kiingereza kaanza kujiona mzungu, kujikataa na kujiona laana. What a fuking idiot!

Na nimekuita an idiot sababu kwa kushindwa tu kutofautisha Black na African people. Ni evidence na proof tosha kwamba wewe ni idiot. In other words sikutukani bali nakwambia ukweli.

So besides you being an actual African. you're also an actual idiot.
 
Nakubaliana na wewe 99% tatizo hio kataa ndoa.... mtoto wa kiume ni Akili na ndo mana maandiko yalisema tuishi nao kwa akili sasa ukikataa ndoa means unakataa kua na akilli.

Kikubwa OA ila asikupelekeshe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…