Wanawake wa kitanzania wana tabia zipi kwenye ndoa?

Wanawake wa kitanzania wana tabia zipi kwenye ndoa?

Zimwi likujualo halikuli ukakwisha achana nao kiongozi kwa afya ya akili zako we pambana na wakenya unaowajua maana unajua utajihami vipi

Ila hawa dada zetu wa kitanzania hawafai labda zamani huko kwanza wanaolewa kupunguza ugumu wa maisha

Sahiv huku tz vijana tuna slogan ya hakuna kuoa

Mwenyekiti wetu akiwa Liverpool VPN
Kwaiyo kumbe wanaolewa kwaajili ya kujikimu, akili zao wanaolewa ili wapate mahitaji muhimu na kipaumbele chao ni kupewa pesa tu ndani ya ndoa
 
Ah wee kuna wanawake wakenya romantic, mie nilikuwa na mkikuyu yule mwanamke alikuwa mkarimu na anajua kutoa uno balaaa and she was very understanding
Huku Kenya huwa tunasema Mkikuyu ni 'moto ya kuotea mbali', hata wanaume wao huwashuku sana.Ukitaka kuoa huko kuwa na makini.
 
Wanawapenda watu wanaoishi majuu(ulaya)utawang'oa kilaini
Kweli. Wanaposkia accent wanaamini mwanamme in mzuri. Huku Kenya walikuwa wanaolewa na Wanigeria Wahuni wenye ni majambazi hadi Waziri wa mambo ya ndani akaweka sheria. mwanamme hawezi kuwa dependant wa mwanamke kwa ndoa, itabidi wapate work permit na residency kama wengine hata kama wameoa wanawake wa Kenya.
 
Binafsi Ni mkenya pia ila naona wanawake wa kitanzania Wana afadhali kuliko wa kwetu Kenya.

Wanawake wa Kenya wengi Ni madikteta na hawapendi kuendeshwa kbsa.

Bado nipo Kwenye mchakato wa kutafuta mwanamke wa kitanzania nimweke ndani tujenge familia.
 
ingia uone mkuu!
Mimi ni Mkenya na niko na jamaa wameoa mabinti toka Tanzania.

Nimependezwa sana na ukarimu na unyenyekevu wao. Wanawake wengi huku Kenya ni Magaidi, kiburi, wanapenda kushindana na wanaume kwa ndoa na wanajifanya wazungu kuliko hata wazungu wenyewe, ukijaribu kujadiliana nao wanaforce accent ya kizungu. Wengi wetu tumechoka sana na hawa dada zetu hasa wanaotoka mlima kati Kenya.

Huku Mtwapa wamegandamiza wazungu hadi utapata wazungu ombaomba walioibiwa mali yao yote na mabibi wa Kikenya.Hata Benpol alijaribu bahati yake Kenya akapata "character development" kali sana.

Wanawake wa kiTanzania wako aje kitabia kwa ndoa kijumla?
 
Mimi ni Mkenya na niko na jamaa wameoa mabinti toka Tanzania.

Nimependezwa sana na ukarimu na unyenyekevu wao. Wanawake wengi huku Kenya ni Magaidi, kiburi, wanapenda kushindana na wanaume kwa ndoa na wanajifanya wazungu kuliko hata wazungu wenyewe, ukijaribu kujadiliana nao wanaforce accent ya kizungu. Wengi wetu tumechoka sana na hawa dada zetu hasa wanaotoka mlima kati Kenya.

Huku Mtwapa wamegandamiza wazungu hadi utapata wazungu ombaomba walioibiwa mali yao yote na mabibi wa Kikenya.Hata Benpol alijaribu bahati yake Kenya akapata "character development" kali sana.

Wanawake wa kiTanzania wako aje kitabia kwa ndoa kijumla?
Usaliti
 
Binafsi Ni mkenya pia ila naona wanawake wa kitanzania Wana afadhali kuliko wa kwetu Kenya.

Wanawake wa Kenya wengi Ni madikteta na hawapendi kuendeshwa kbsa.

Bado nipo Kwenye mchakato wa kutafuta mwanamke wa kitanzania nimweke ndani tujenge familia.
Mrejesho uliweza
 
Back
Top Bottom