Kwaiyo kumbe wanaolewa kwaajili ya kujikimu, akili zao wanaolewa ili wapate mahitaji muhimu na kipaumbele chao ni kupewa pesa tu ndani ya ndoaZimwi likujualo halikuli ukakwisha achana nao kiongozi kwa afya ya akili zako we pambana na wakenya unaowajua maana unajua utajihami vipi
Ila hawa dada zetu wa kitanzania hawafai labda zamani huko kwanza wanaolewa kupunguza ugumu wa maisha
Sahiv huku tz vijana tuna slogan ya hakuna kuoa
Mwenyekiti wetu akiwa Liverpool VPN
Huku Kenya huwa tunasema Mkikuyu ni 'moto ya kuotea mbali', hata wanaume wao huwashuku sana.Ukitaka kuoa huko kuwa na makini.Ah wee kuna wanawake wakenya romantic, mie nilikuwa na mkikuyu yule mwanamke alikuwa mkarimu na anajua kutoa uno balaaa and she was very understanding
Wanawapenda watu wanaoishi majuu(ulaya)utawang'oa kilainiKenyan girls wanapenda show off sana na mbaya zaidi hata mapenzi hawajui na mbaya hata wengi sio wasafi
Kweli. Wanaposkia accent wanaamini mwanamme in mzuri. Huku Kenya walikuwa wanaolewa na Wanigeria Wahuni wenye ni majambazi hadi Waziri wa mambo ya ndani akaweka sheria. mwanamme hawezi kuwa dependant wa mwanamke kwa ndoa, itabidi wapate work permit na residency kama wengine hata kama wameoa wanawake wa Kenya.Wanawapenda watu wanaoishi majuu(ulaya)utawang'oa kilaini
Wengi wao wana forehead (a.k.a Komwe)hawana utu wanachojali ni pesqKenyan girls wanapenda show off sana na mbaya zaidi hata mapenzi hawajui na mbaya hata wengi sio wasafi
Mimi ni Mkenya na niko na jamaa wameoa mabinti toka Tanzania.
Nimependezwa sana na ukarimu na unyenyekevu wao. Wanawake wengi huku Kenya ni Magaidi, kiburi, wanapenda kushindana na wanaume kwa ndoa na wanajifanya wazungu kuliko hata wazungu wenyewe, ukijaribu kujadiliana nao wanaforce accent ya kizungu. Wengi wetu tumechoka sana na hawa dada zetu hasa wanaotoka mlima kati Kenya.
Huku Mtwapa wamegandamiza wazungu hadi utapata wazungu ombaomba walioibiwa mali yao yote na mabibi wa Kikenya.Hata Benpol alijaribu bahati yake Kenya akapata "character development" kali sana.
Wanawake wa kiTanzania wako aje kitabia kwa ndoa kijumla?
UsalitiMimi ni Mkenya na niko na jamaa wameoa mabinti toka Tanzania.
Nimependezwa sana na ukarimu na unyenyekevu wao. Wanawake wengi huku Kenya ni Magaidi, kiburi, wanapenda kushindana na wanaume kwa ndoa na wanajifanya wazungu kuliko hata wazungu wenyewe, ukijaribu kujadiliana nao wanaforce accent ya kizungu. Wengi wetu tumechoka sana na hawa dada zetu hasa wanaotoka mlima kati Kenya.
Huku Mtwapa wamegandamiza wazungu hadi utapata wazungu ombaomba walioibiwa mali yao yote na mabibi wa Kikenya.Hata Benpol alijaribu bahati yake Kenya akapata "character development" kali sana.
Wanawake wa kiTanzania wako aje kitabia kwa ndoa kijumla?
Mrejesho uliwezaBinafsi Ni mkenya pia ila naona wanawake wa kitanzania Wana afadhali kuliko wa kwetu Kenya.
Wanawake wa Kenya wengi Ni madikteta na hawapendi kuendeshwa kbsa.
Bado nipo Kwenye mchakato wa kutafuta mwanamke wa kitanzania nimweke ndani tujenge familia.