Wanawake wa Mbeya wanajua sana kulia msibani

Wanawake wa Mbeya wanajua sana kulia msibani

i

Yaani kweli kabisa mkuu, kitambo msiba unakaa hata wiki 2 hadi 4 wanasubiri ndugu wote wa marehemu wafike. Muda wote huo ni pombe, msosi na muziki. Wakisikia wageni wameanzisha kilio huko nje wanapokelewa kwa kilio na wenyeji ghafla wanamute na stori zinaendelea. Umenikumbusha mbali mkuu.
Wajaluo miyeyusho Sana , msiba unachukua hata mwezi
 
Hawa ndio wanavikundi vya kukodishwa kulia kwenye misiba??
 
Duuh,uzuri wa Mbeya Iringa wanawake wake sio wachoyo kabisaa
Kwenu umachingani ni zaidi ya mno. Nilimhonga mwanamke wa Mtwara chinga elfu hamsini. Akabaki kuniuliza" hii ni kifungua uchumba au mahari"
Kwa kweli Ntwara sikupata tabu ya mabibi.
 
ç
Mkuu wakurya ndiyo cha mtoto kwa wajaluo kabisa. Yaani ikiwa wakati wa mvua mwanamke wa kijaluo ataoga tope kwa kugalagala chini. Kilio balaa alafu macho makavu kabisa, akimaliza anakuta chai birika na maandazi ndoo ndogo kama appetizer.

Kinafuata chakula cha nguvu na vinywaji, then usiku ni muziki hadi majogoo. Yaani ni sherehe kama vile hakuna msiba. Wakurya kwanza hawakai na maiti na msiba ni faster watu wanatawanyika ingawa wanawake nao wanalia.
Umenikumbusha asee mwaka jana tulifiwa na bibi yetu msiba ulikaa mwezi mzma eti lazma ndugu wote wafike yaan kijijini ilkua ni chakula na pombe na mziki wa kufa mtu plus wamama kulia yani nilikua nacheka sana kuona maigizo yao
Siku ya kuleta maiti sasa ndo ilkua vituko watu walilia kijiji kizima Mama ndo alinifurahisha sana alivokua akilia yan analia afu ana nambia nimfatie vocha mara nikaangalie pochi yke kwenye gari alfu anaendelea kumlilia mama mkwe wake (bibi)

Siku ya mazishi sasa ndo nilishangaa usiku kulikua na disco la kumuaga marehemu la nguvu yaan kuna wasicha wa kununua ili ucheze nao kwa 200 tu mbele ya watu kwakwel ni burudan sana
 
Umenikumbusha asee mwaka jana tulifiwa na bibi yetu msiba ulikaa mwezi mzma eti lazma ndugu wote wafike yaan kijijini ilkua ni chakula na pombe na mziki wa kufa mtu plus wamama kulia yani nilikua nacheka sana kuona maigizo yao
Siku ya kuleta maiti sasa ndo ilkua vituko watu walilia kijiji kizima Mama ndo alinifurahisha sana alivokua akilia yan analia afu ana nambia nimfatie vocha mara nikaangalie pochi yke kwenye gari alfu anaendelea kumlilia mama mkwe wake (bibi)

Siku ya mazishi sasa ndo nilishangaa usiku kulikua na disco la kumuaga marehemu la nguvu yaan kuna wasicha wa kununua ili ucheze nao kwa 200 tu mbele ya watu kwakwel ni burudan sana
Wewe sasa ndio umehudhuria msiba wa wajaluo kiuhalisia kabisa, ukikuta familia inayojiweza kila siku Ng'ombe anaangushwa na nyama choma na pombe za kutosha. Ukiwa vizuri mfukoni disko la usiku utanunua warembo wa kudansi nao unavyotaka mwenyewe, mkielewana wakati wa kudansi ni kifuatacho. Kiufupi ni sherehe ya kumuaga marehemu
 
Wewe sasa ndio umehudhuria msiba wa wajaluo kiuhalisia kabisa, ukikuta familia inayojiweza kila siku Ng'ombe anaangushwa na nyama choma na pombe za kutosha. Ukiwa vizuri mfukoni disko la usiku utanunua warembo wa kudansi nao unavyotaka mwenyewe, mkielewana wakati wa kudansi ni kifuatacho. Kiufupi ni sherehe ya kumuaga marehemu
Kwa kweli inafurahisha sana
 
Umenikumbusha asee mwaka jana tulifiwa na bibi yetu msiba ulikaa mwezi mzma eti lazma ndugu wote wafike yaan kijijini ilkua ni chakula na pombe na mziki wa kufa mtu plus wamama kulia yani nilikua nacheka sana kuona maigizo yao
Siku ya kuleta maiti sasa ndo ilkua vituko watu walilia kijiji kizima Mama ndo alinifurahisha sana alivokua akilia yan analia afu ana nambia nimfatie vocha mara nikaangalie pochi yke kwenye gari alfu anaendelea kumlilia mama mkwe wake (bibi)

Siku ya mazishi sasa ndo nilishangaa usiku kulikua na disco la kumuaga marehemu la nguvu yaan kuna wasicha wa kununua ili ucheze nao kwa 200 tu mbele ya watu kwakwel ni burudan sana
maza ako noma sana daah😀😀
 
Back
Top Bottom