Wanawake wa mtandaoni mnaotutapeli bila kutupa tukitakacho mnatuumiza sana

Wanawake wa mtandaoni mnaotutapeli bila kutupa tukitakacho mnatuumiza sana

empty set umenikumbusha kwenye uzi wetu wa likes[emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe niliona mlivyopitiwa na mabomu ya nyuklia hahahha na huwa hajibu kwa kukurupuka lazima apitie kwenye uzi wako na comment zako anatumia saikolojia anarud kukujibu anakuandikia bonge la barua unabak unashangaaaa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji23] niache
Naogopa kutaja jina lake maana niliona kuna sehem nimemuandika ndan ndan lakin amelike nikasema huyu atakuwa ananifanyia utafit aje anipe bomu la nyuklia nn
 
Shauri yako utapewa bomu mojaaa hatarious wacha ninyamaze nikatembelee majukwaa mengine LOL
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 

Kumekua na tabia ya wanawake wanakufata inbox wanakutamanisha kwa meseji tamu sana na hata kama hukua na mpango wa kununua show basi unajikuta unashawishika. Anakupa list of services na zote huwa zinaridhisha na bei hua mwanana kabisa.

Ukishaukubali mzigo sasa ukataka uje ulipo utakuambia tuma nauli, akikuambia njoo ukifika nitalipa unalalama eti unaweza fika alafu kidume usipokee simu, ukimwambia basi naja mimi kukufata anakuambia huku nyumbani sitakiwi kuonekana na mwanaume kabisa. Baba sijui ni shekhe wa wapi huko.

Ukimtumia hela basi zimekwenda na mto uliojaa mafuriko. Huo ndo utakua mwisho wa mwanamke huyo kuwasiliana na wewe. Ina uma sana jamani ukiahidi huduma toa huduma.
Unachezwa na machale vizuri, unajitahidi kutumia akili kuepusha usitapeliwe, unafanikiwa kumbana tapeli wako vizuri, mwisho wa tukio unaamua kutumia ujinga unaliwa. Delila hakuwahi kumuacha mwanaume salama.
 
Sampuli kama wewe watu wa mikoani hawa, mburulaaaaa.......

yani mfano umenunua dawa ya kuongeza nguvu za kiume kwa one hour kutegemea demu anakuja, Then anakupiga kalenda kama huyo mara hiki, kile haeleweki yani, ndo utajua kwa nn hii Tanzania ya viwonder.......
 
Back
Top Bottom