Bonny
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 13,370
- 29,968
Mbona mguno tenaMmmh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona mguno tenaMmmh
Kwanini usitume nauli?Jikopeshe ukija utalipwa unakujje bila hata buku ya boda
Hapo ndo pagumu sasa!!Ukienda halafu usimkute au azime simu eti? Au akutumie akatae kulipa?
HakunaMbona mguno tena
Biashara hela bandia kwa pesa bandiaKwanini usitume nauli?
Ahahaaa biashara haramu ni haramu tu nyie mnataka kuhalalisha bnaBiashara hela bandia kwa pesa bandia
Shida kila mtu mpigaj hapoAhahaaa biashara haramu ni haramu tu nyie mnataka kuhalalisha bna
Hahaaa mi naijua ndo maana nikaiweka hapo makusudi na wengine wasome ujumbe
Na we unawapiga![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sitak kucheka miyeee pole sana
Kuna mdada anisumbua nimfuate babatiKuna mtu aliwai kunitumia nauli from arusha to mtwara tena Mara mbili .humu humu ahahaaa jomoni???.hv nije mtwara Mkuu kugegedwa kweli??
Hapana mm siwapigi kabisaaaNa we unawapiga!
Naona umejilipuaKuna mdada anisumbua nimfuate babati
MmhNaona umejilipua