Wewe niliona mlivyopitiwa na mabomu ya nyuklia hahahha na huwa hajibu kwa kukurupuka lazima apitie kwenye uzi wako na comment zako anatumia saikolojia anarud kukujibu anakuandikia bonge la barua unabak unashangaaaaempty set umenikumbusha kwenye uzi wetu wa likes[emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
azunguke nayo afu asipokukuta je hahaha.. inabd atoe papa kwa derevaBado unafanya hyo Huduma ya kutuma Nauli? Siku hz mwambie chukua Uber/Tax/Bodaboda/Bajaji nakuja kulipa huku.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji23] niacheWewe niliona mlivyopitiwa na mabomu ya nyuklia hahahha na huwa hajibu kwa kukurupuka lazima apitie kwenye uzi wako na comment zako anatumia saikolojia anarud kukujibu anakuandikia bonge la barua unabak unashangaaaa
Tena zwazwa haswaaaa [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57]na wewe utayetuma nauli kwa mtu usiyemjua ni zwazwa...
Naogopa kutaja jina lake maana niliona kuna sehem nimemuandika ndan ndan lakin amelike nikasema huyu atakuwa ananifanyia utafit aje anipe bomu la nyuklia nn[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji23] niache
Shauri yako utapewa bomu mojaaa hatarious wacha ninyamaze nikatembelee majukwaa mengine LOLNaogopa kutaja jina lake maana niliona kuna sehem nimemuandika ndan ndan lakin amelike nikasema huyu atakuwa ananifanyia utafit aje anipe bomu la nyuklia nn
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]Shauri yako utapewa bomu mojaaa hatarious wacha ninyamaze nikatembelee majukwaa mengine LOL
Unachezwa na machale vizuri, unajitahidi kutumia akili kuepusha usitapeliwe, unafanikiwa kumbana tapeli wako vizuri, mwisho wa tukio unaamua kutumia ujinga unaliwa. Delila hakuwahi kumuacha mwanaume salama.Kumekua na tabia ya wanawake wanakufata inbox wanakutamanisha kwa meseji tamu sana na hata kama hukua na mpango wa kununua show basi unajikuta unashawishika. Anakupa list of services na zote huwa zinaridhisha na bei hua mwanana kabisa.
Ukishaukubali mzigo sasa ukataka uje ulipo utakuambia tuma nauli, akikuambia njoo ukifika nitalipa unalalama eti unaweza fika alafu kidume usipokee simu, ukimwambia basi naja mimi kukufata anakuambia huku nyumbani sitakiwi kuonekana na mwanaume kabisa. Baba sijui ni shekhe wa wapi huko.
Ukimtumia hela basi zimekwenda na mto uliojaa mafuriko. Huo ndo utakua mwisho wa mwanamke huyo kuwasiliana na wewe. Ina uma sana jamani ukiahidi huduma toa huduma.
Siku hizi kapatikana yaani kawekewa limit ya ku chart. JF na huyo jamaa Nafikiri ni zaidi kagameeoo. inaitwa kupatikana kwa miss chaga [emoji125][emoji125]Miss Natafuta nasikia umefichwa Na Nyani Ngabu wa Kizungu
Siku hizi kapatikana yaani kawekewa limit ya ku chart. JF na huyo jamaa Nafikiri ni zaidi kagameeoo. inaitwa kupatikana kwa miss chaga [emoji125][emoji125]Miss Natafuta nasikia umefichwa Na Nyani Ngabu wa Kizungu
Hahaaa mi naijua ndo maana nikaiweka hapo makusudi na wengine wasome ujumbenimeipenda signature yako mkuu!hebu isome tena!
Nikija halafu uzime simu.tuma nauli weweBado unafanya hyo Huduma ya kutuma Nauli? Siku hz mwambie chukua Uber/Tax/Bodaboda/Bajaji nakuja kulipa huku.
Ahahaaaa jamaniSiku hizi kapatikana yaani kawekewa limit ya ku chart. JF na huyo jamaa Nafikiri ni zaidi kagameeoo. inaitwa kupatikana kwa miss chaga [emoji125][emoji125]
MmmhBado unafanya hyo Huduma ya kutuma Nauli? Siku hz mwambie chukua Uber/Tax/Bodaboda/Bajaji nakuja kulipa huku.
Ukienda halafu usimkute au azime simu eti? Au akutumie akatae kulipa?Mmmh
Jikopeshe ukija utalipwa unakujje bila hata buku ya bodaNikija halafu uzime simu.tuma nauli wewe