Wanawake wa mtandaoni mnaotutapeli bila kutupa tukitakacho mnatuumiza sana

Kuna mtu aliwai kunitumia nauli from arusha to mtwara tena Mara mbili .humu humu ahahaaa jomoni???.hv nije mtwara Mkuu kugegedwa kweli??
 
Aisee.....


Poyeee...


Hiyo ni sawa na kubet...

Upate ama upatwe.

Pambana na hali yako
 
Watu bana mkiaidiwa 0715 tu bac mnazuzuka mxiu polee ngoja nije pm unipe namm
 
Zaidi ya zwazwa. Kuna uzi uliletwa humu. Jamaa alituma nauli ya ndege kwa dada. Alipofika airport kumpokea, akijikuta wanampokea wawili, eti ni kakake so anaenda kwanza kwa bro. Bado tu unatuma nauli.
 
HAHAAA USISEME KUWA HUJAWAHI KUBET ...HIYO NI BIKO KABISA MKUU
 
bado kuna wanaoendelea kuliwa kwa dizaini hii???
huo ni uzuzu wa kiwango cha Bob Magogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…