Wanawake wa namna hii huwa wananivutia sana

Wanawake wa namna hii huwa wananivutia sana

Kuna kitu cha kipekee sana juu ya wanawake ambao wako hivi,
Sijui ni mimi tu na macho yangu, lakini mwanamke wa hivi naweza honga hata nyumba.
Huwa najikuta nawapenda bure tu...Rangi ya ngozi na nywele zao bado za asili...
Rai yangu: wanawake wa Kiafrika ni wazuri sana na Mungu aliwapendelea, msijiharibu ngozi zenu....

View attachment 860406View attachment 860410View attachment 860411View attachment 860440View attachment 860481View attachment 860840
Huyo wa kwanza figo ikizingua na muwekea...
 
Huyo mwenye nguo ya "Best babes club" hiyo style yake ya nywele inanikumbusha mama zetu enzi zao early 80s kurudi nyuma.
R.I.P Mamma.

Namkubali sana mwanamke anapiga hiyo tena natural hair tu.
 
ebu wekeni picha za kina mwantumu huko mitaani kwenu sio mnaattach picha za google
 
Back
Top Bottom