Wanawake wa namna hii huwa wananivutia sana

Weka na wewe picha Yako halisi hapa labda utapendwa.
 
Mimi mwenyewe huo ndio ugonjwa wangu. Ukiongezea na urefu, plus umbo la kike kwisha kabisa.
 
Mimi ugonjwa wangu ni mwanamke akivaa zile nguo za kiislam(hijabu) aiseee naweza kufanya chochote. Na hii imenipelekea kuwa katika mahusiano na mabinti wa kiislam pekee nadhani mpaka umri huu.
 
Kuna mmoja hapo nilimtafuna kwa kuunganishiwa nikalipa 500k hakuna kitu kidogo nidai shekeli zangu.

Waoneni tu hivyo
Whaaat!!! 500k kisa ngono ??? Aisee una hatari nyingi wewe!
Braza ukiendelea hivi utajiri utausikia kwenye bomba tu!!!
 
Whaaat!!! 500k kisa ngono ??? Aisee una hatari nyingi wewe!
Braza ukiendelea hivi utajiri utausikia kwenye bomba tu!!!
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Yaani bro usinikumbushe hela yenyewe nililima matikiti rufiji, nikapata 2.5mil
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…