Kumbe Kuna PM tena, uwe unasema mapema sasa....ungeshapata wifi kabla ya RamadanAaah weeh!! Kwani pm hakujajibu tu🙆♂️🙆♂️
SBango liko Mwananyamala Dar hili
View attachment 3255532
Ingawa lazima tuseme, kwa ujumla Wachaga ndio kabila lililojitahidi kutoa Wake wengi Bora kwa ndoa Bora.
Serikali Ilipoingilia Kati Ulevi Wa Wanaume Wa Rombo Mpaka Wamama Wakawa Wanakwenda Kenya Kupata Huduma Ya Kuna Nuru GizaniWanatandika bakora waume zao wakajiulize kwa jirani zao Kenya
S
1. Sifa kuu ya wanawake wa Rombo ni uchapa kazi kazi kazi...wanaitwa fusso.Bango liko Mwananyamala Dar hili
View attachment 3255532
Ingawa lazima tuseme, kwa ujumla Wachaga ndio kabila lililojitahidi kutoa Wake wengi Bora kwa ndoa Bora.
🤣😂Serikali Ilipoingilia Kati Ulevi Wa Wanaume Wa Rombo Mpaka Wamama Wakawa Wanakwenda Kenya Kupata Huduma Ya Kuna Nuru Gizani
Kuna mahali niliona unalalamika pm kuwa slow usiku. Dogo umepotea jukwaani, kumbe unakesha pm🤣🤣🤣Kumbe Kuna PM tena, uwe unasema mapema sasa....ungeshapata wifi kabla ya Ramadan
Nyie mmepitiliza umri! Nafasi imebakia Moja tu" Single Mother"Na wachaga wa ulaya tutaolewa kweli😹😹
Pale nlikuwa natafuta tu sifa na Mimi nionekane nimo lkn hamna Cha manenoKuna mahali niliona unalalamika pm kuwa slow usiku. Dogo umepotea jukwaani, kumbe unakesha pm🤣🤣🤣
ILa huo ndio ukweli wake bora wanapatikana Kilimanjaro wakatae huo ndio ukweli.Bango liko Mwananyamala Dar hili
View attachment 3255532
Ingawa lazima tuseme, kwa ujumla Wachaga ndio kabila lililojitahidi kutoa Wake wengi Bora kwa ndoa Bora.
Aaah we! Ngoja niombe umod niwe nachungulia🤣Pale nlikuwa natafuta tu sifa na Mimi nionekane nimo lkn hamna Cha maneno
Mama yangu! Uzuri siagizagi vitu Ali baba mi naingia zangu Mnadani/Gulioni ni kusagula sagula tuAaah we! Ngoja niombe umod niwe nachungulia🤣
🤣🤣🤣🤣 we subiri!Mama yangu! Uzuri siagizagi vitu Ali baba mi naingia zangu Mnadani/Gulioni ni kusagula sagula tu