Wanawake wa siku hizi mmekua wepesi kutongozeka hadi mnaboa

Wanawake wa siku hizi mmekua wepesi kutongozeka hadi mnaboa

mkuu, mm sikubaliani na huu mtazamo wako kwa 7bu madem wakiwa wagumu kutongoza wenye midomo ZEGE tutaishia kwenda kupiga K kwa kimboka tu na tutagharimika zaidi. dada zetu endeleeni hivyo hivyo ili hata sisi midomo KOKOTO tufaidi.
 
Huna tofauti na hao wanawake. Yani hamna tofauti kabisa. Nasema wote ni warahisi na kwenu ngono ni sawa na kunywa maji tu, mmesahau kuwa hiyo miili yenu ina thamani kubwa sana.
Pole...
 
Ikiwa ni kweli umetaja sehemu halisi wanapofanyia kazi utakuwa bwege na mseng. Kwa nini unadhalilisha dada zetu? Ikiwa wewe ulikuwa na hamu unadhan wao hawana? Au mbona wewe nawe ulikubali ku du nae same day?
Leo ni "sikukuu"
 
Usingetaja kampuni zao wanazofanya kazi
kuna wafanyakazi wenzao humu
au hata ndugu zao wanaweza ku connect dots

ukipewa sema ahsante...kama hutaki usiombe....

wapi ametajaaa!!!?? au nikatafte miwani. mhasibu Shirika fulan LA umma...
 
mkuu, mm sikubaliani na huu mtazamo wako kwa 7bu madem wakiwa wagumu kutongoza wenye midomo ZEGE tutaishia kwenda kupiga K kwa kimboka tu na tutagharimika zaidi. dada zetu endeleeni hivyo hivyo ili hata sisi midomo KOKOTO tufaidi.
Hahahaa aisee mkuu umenichekesha kinoma....kwa kimboka ndio wapi?
 
Nlienda Angaza - magomeni na ndg yangu kupima siku ya ijumaa. Bahati mbaya tukakuta kupon zimeisha xo hatukuweza kuhudumiwa kwani ilikuwa ijumaa. Kuna binti mmoja tulimkuta nae alichelewa pia.

Ndg yangu akakaa na yule manzi wakapiga story kidogo tukaongozana mpaka nyumbani kisha wakaingia chumbani.

Baada ya muda nlipomaliza kuandaa msosi naingia chumbani nakuta manzi amelala hana nguo na condom zipo chini.

Kuhoji zaid naambiwa yule manzi kaolewa ila mmewe kasafiri kwenda mbeya. Siku zilizofwatia akawa anakuja geto mwenyewe ila nlizinguana nae baada ya kumzingua kwanini kila akija haogi baada ya mechi.
 
Dada zetu Wazingatie ule wimbo wa Fid Q na matonya,"usinikubali Haraka"ili hamu na thaman yenu kwa muhusika anayetaka juduma yenu iwe na mashiko!!!
 
Back
Top Bottom