Amicus Curiae
JF-Expert Member
- Sep 12, 2012
- 5,351
- 7,639
- Thread starter
-
- #101
Umetia huruma sana mkuu, pole kama nimekutonesha, dhamira yangu ilikua kufikisha ujumbe tu. Samahani kama nimetumia namna mbaya.Mungu atusaidie na kutuhurumia,kwa maneno hayo huko nikutudhalilisha sna maana umatuona maharage ya mby.
Kumbuka umesema ulikuwa unawachombeza,hapo sijaelewa ulikuwa unawatania au unawahitaji kweli?
Nimegundua upo hapo kwa lengo la kuumiza wanawake.
Asante kwa kutuonya ila unachofanya sio kizurii.ipo siku utahitaji kuoa hutapata mtu na ukipata hatokuwa yule unae muhitaji.
[emoji122] [emoji122] [emoji122]Sasa kama mtu kakutongoza umempenda umuwekee ugumu Wa kazi gani? mambo mengine kuchoshana tu watu wazima.Mapenz hayana formula.
Hajataja sehemu wanafanyia kazi mashirika ya ndege yapo zaidi ya moja,ofisi za umma zipo zaidi ya moja.haya kataja wapi???bank teller kuna bank zaidi 20 tz.elimu elimu elimuUlikuwa na haja gani ya kutaja wanapofanya kazi.
Kabla hujaleta kitu humu tafakari kwanza.
Ifike mahari tukubaliane ukipewa k shukuru, sio kulalama eti ni very cheapNakuunga mkono mtoa mada. Ni kweli dada zetu wanatoa fursa kirahisi sana si kama zamani. Naomba kushea xperience yangu ya leo japo inaweza kuwa tofauti kdg na dhana ya mleta mada. Leo bana niliamka nimevurugwa nikasema niende massage parlour moja hivi kuweka mwili fresh. Kuingia nae room mtoa huduma akaniambia nivue nguo zote.. Nikamkatalia nikamwambia the best I can do ni kuvua suruali tu nitabaki na boxer. Akasema sawa.... Wakat zoez linaendelea, nikamwona anavuka mipaka, nikamweleza mie sijaja kwa hizo mambo, akaniambia kaka yangu nimebanwa naomba unisaidie.. sitokuchaji hata mia! I was like WTF*** but shetani ana nguvu sana, nikambidua na kakamwaga mma si kitoto! Mpk jioni hii najiuliza wht the hell was that??? So cheap!
Wanafanana kwa namna moja au nyingine
MPE hela mwanamke,mwanamke anatongozwa kwa hela tu.Wanawake wa siku hizi ukitumia hela kidogo tu kwake umemaliza mchezo asubuhiiiiii. By the way, wanawake waliumbwa kwa ajili yetu wanaume, kwahiyo ukiwa na lengo la kula papuchi nyingi utazila sana mpaka utazikinai.
Uvulana unakusumbua dawa yenu trump kuwa rais
Yani umelenga The Boss....Na sio mwanamke akiwa mwepesi kwako basi ni mwepesi kwa kila mwanaume
wewe unaweza kumpata leo leo huku mwenzio ana mwaka wa pili anabembeleza
Mkuu soma vizuri, umetoka usingizini nini?[emoji23]
Ume-edit ndio unajifanya eti muwe mnasoma vizuri......Muwage mnasoma mkiwa na utulivu sio mnakurupuka jamani, rejea uzi wangu uone kama nimeandika hivyo. Unless kama una story yako mwenyewe.
Hio ya juu ni edited red haikuwepo, original niliyo-quote mimi ni hapo chiniEaster monday natoka Tanga kuwasalimu wazazi, kufika Segera mpiga debe mmoja jamaa yangu akaniambia kuna kichwa cha Dar, kucheki hivi ni mtoto mkali akataka akae back seat nikamwambia hapana aje mbele, tukaondoka ila sikuongea kitu kwa kama dk 3 hivi asione nimepanick, baada ya dk hizo kupita tukaanza story, tulipofika kobil pale hotelini Chalinze nikamuomba tukale akawa anaona nishai, baadae akakubali, tukala nikalipa, kufika Kimara Temboni akatoa nauli yake ili anilipe nikakataa, baada ya kumchombeza kidogo akanielewa, nikaenda nae kwangu nikapiga siku hiyohiyo hadi asubuhi.
Hahahahahahaha una nyota ya ukimwi nduguHabarini za siku nyingi wana jamvi,
Kwanza nitoe 'disclaimer' msije mkanishambulia, kwamba huu ni mtazamo wangu na si msimamo wa wanaume wote.
Ila kiukweli mmekua wepesi hadi mnaboa ingawa sio wote.
Tazama scenario hizi...
Juzi nilikua mgahawa mmoja jijini nikamuona binti mkali pembeni yangu nikaomba nimjoin akakubali, kuna time akapigiwa simu na mama yake bahati mbaya simu ikakatika, akaniomba atoke pembeni akanunue vocha ili ampigie, nikamwambia hakuna haja na palepale nikamtumia 10,000 tigopesa akajiunga ndio ukawa mwanzo wa kufahamiana, kesho yake nikapiga.
Siku nyingine nipo kwenye bank, ilipofika zamu yangu nikamchekesha kidogo yule teller, baada ya kunihudumia nikampa tip na bussines card, baada ya siku 2 nikampitia.
Easter monday natoka Tanga kuwasalimu wazazi, kufika Segera mpiga debe mmoja jamaa yangu akaniambia kuna kichwa cha Dar, kucheki hivi ni mtoto mkali akataka akae back seat nikamwambia hapana aje mbele, tukaondoka ila sikuongea kitu kwa kama dk 3 hivi asione nimepanick, baada ya dk hizo kupita tukaanza story, tulipofika kobil pale hotelini Chalinze nikamuomba tukale akawa anaona nishai, baadae akakubali, tukala nikalipa, kufika Kimara Temboni akatoa nauli yake ili anilipe nikakataa, baada ya kumchombeza kidogo akanielewa, nikaenda nae kwangu nikapiga siku hiyohiyo hadi asubuhi.
Hii ni mifano michache tu kati ya mingi sana. Ingawa msitusumbue sana pia coz inaboa[emoji1]
Hahahahaha[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahahahahahaha una nyota ya ukimwi ndugu
Embu msemeeIkiwa ni kweli umetaja sehemu halisi wanapofanyia kazi utakuwa bwege na mseng. Kwa nini unadhalilisha dada zetu? Ikiwa wewe ulikuwa na hamu unadhan wao hawana? Au mbona wewe nawe ulikubali ku du nae same day?