Wanawake wa siku hizi mmekua wepesi kutongozeka hadi mnaboa

Wanawake wa siku hizi mmekua wepesi kutongozeka hadi mnaboa

Mungu atusaidie na kutuhurumia,kwa maneno hayo huko nikutudhalilisha sna maana umatuona maharage ya mby.

Kumbuka umesema ulikuwa unawachombeza,hapo sijaelewa ulikuwa unawatania au unawahitaji kweli?

Nimegundua upo hapo kwa lengo la kuumiza wanawake.

Asante kwa kutuonya ila unachofanya sio kizurii.ipo siku utahitaji kuoa hutapata mtu na ukipata hatokuwa yule unae muhitaji.
 
OTE="Heaven Sent, post: 15746197, member: 173866"]yeye ndo cheap au wote wawili ni cheap?[/QUOTE]
The sad part is that it is a mans world, so men and women don't get judged on the same moral standards.
 
Dada mahubiri tena?! Dhambi hiyo nishatubu. Mungu anisamehe tu kwa kweli kwani yeye ni mwingi wa rehma! My Confession..

Kwema lakini?

Haahaaa
Eti mahubiri!.
Amina kutubu ndo mhimu,na uache tulia na 1,oa!

Kwema ndugu!
 
OTE="Heaven Sent, post: 15746197, member: 173866"]yeye ndo cheap au wote wawili ni cheap?
The sad part is that it is a mans world, so men and women don't get judged on the same moral standards.[/QUOTE]
Labda kwa hao wengine, mie ntaona wote tu nyie ni cheap
 
tatizo sio mademu wanaboa ila story zinaboa
mara wanaume wa siku hizi wako hivi
mara wanaume wa dar
mara single mother wamekuwa rahisi
linapokutoke jambo hata kama limekutokea kwa watu kumi hiyo sio sababu ya kuwajaji watu wote
 
Labda kwa hao wengine, mie ntaona wote tu nyie ni cheap[/QUOTE]unachosema upo sahihi lakini mbele ya jamii its a different story, assume kwenye iyo 1 nite stand demu kapata mimba na ameopt kujifungua alafu mchizi anazingua to put a ring on it hadi responsibility, mama yake demu mwenyewe atamuona cheap kuzalia home bila ndoa, wanaume atakaokutana nao mbeleni wakisikia mtoto na wenyewe wanaona its a turn off, lkn kwa mchizi he gets to marry the girl of his dreams and lives his happily ever after without any repercussions
 
Habarini za siku nyingi wana jamvi!

Kwanza nitoe 'disclaimer' msije mkanishambulia, kwamba huu ni mtazamo wangu na si msimamo wa wanaume wote.

Ila kiukweli mmekua wepesi hadi mnaboa ingawa sio wote.

Tazama scenario hizi...

Juzi nilikua mgahawa mmoja jijini nikamuona binti mkali pembeni yangu nikaomba nimjoin akakubali, kuna time akapigiwa cm na mama yake bht mbaya cm ikakatika, akaniomba atoke pembeni akanunue vocha ili ampigie, nikamwambia hakuna haja na palepale nikamtumia 10,000 tigopesa akajiunga ndio ukawa mwanzo wa kufahamiana, kesho yake nikapiga, huyu ni sales executive wa shirika flani la ndege


Siku nyingine nipo kwenye que bank, ilipofika zamu yangu nikamchekesha kdg yule teller, baada ya kunihudumia nikampa tip na bussines card, baada ya siku 2 nikampitia.


Easter monday natoka Tanga kuwasalimu wazazi, kufika Segera mpiga debe mmoja jamaa yangu akaniambia kuna kichwa cha Dar, kucheki hivi ni mtoto mkali akataka akae back seat nikamwambia hapana aje mbele, tukaondoka ila sikuongea kitu kwa kama dk 3 hivi asione nimepanick, tukafika kobil pale hotelini chalinze nikamuomba tukale akawa anaona nishai, baadae akakubali, tukala nikalipa, kufika kimara temboni akatoa nauli yake ili anilipe nikakataa, nikachombeza hapa na pale, nikaenda nae kwangu nikapiga siku hiyohiyo hadi asubuhi, huyu ni mhasibu Shirika flani la Umma


Hii ni mifano michache tu kati ya mingi...sasa dada zetu muwage wagumu hata kdg basi, manake mkikubali mapema sana mnatutia mashaka. Ingawa msitusumbue sana pia coz inaboa[emoji1]
Wawe wagumu wapi acha wawe rahisi wengine tupone
 
Mungu atusaidie na kutuhurumia,kwa maneno hayo huko nikutudhalilisha sna maana umatuona maharage ya mby.

Kumbuka umesema ulikuwa unawachombeza,hapo sijaelewa ulikuwa unawatania au unawahitaji kweli?

Nimegundua upo hapo kwa lengo la kuumiza wanawake.

Asante kwa kutuonya ila unachofanya sio kizurii.ipo siku utahitaji kuoa hutapata mtu na ukipata hatokuwa yule unae muhitaji.
Mkuu umenigusa sana, yashaanza kunitokea mimi, najuta sana kweli malipo ni hapa hapa
 
Unatuharibia brother, wengine tunapenda mambo yasiyo na complications, umeshuka vesi umeeleweka akatae ili iweje?
 
Nakuunga mkono mtoa mada. Ni kweli dada zetu wanatoa fursa kirahisi sana si kama zamani. Naomba kushea xperience yangu ya leo japo inaweza kuwa tofauti kdg na dhana ya mleta mada. Leo bana niliamka nimevurugwa nikasema niende massage parlour moja hivi kuweka mwili fresh. Kuingia nae room mtoa huduma akaniambia nivue nguo zote.. Nikamkatalia nikamwambia the best I can do ni kuvua suruali tu nitabaki na boxer. Akasema sawa.... Wakat zoez linaendelea, nikamwona anavuka mipaka, nikamweleza mie sijaja kwa hizo mambo, akaniambia kaka yangu nimebanwa naomba unisaidie.. sitokuchaji hata mia! I was like WTF*** but shetani ana nguvu sana, nikambidua na kakamwaga mma si kitoto! Mpk jioni hii najiuliza wht the hell was that??? So cheap!
This is such a terrible experience mkuu...ndivyo walivyo hawa, ukisema unaonekana mbaya
 
labda ndinga ilikua inachomoka kama ndege?!
Muwage mnasoma mkiwa na utulivu sio mnakurupuka jamani, rejea uzi wangu uone kama nimeandika hivyo. Unless kama una story yako mwenyewe.
 
Back
Top Bottom