figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
Hawa wanawake nawashangaa sana. Naandika hapa kwa masikitiko makubwa, naomba na wewe unaye soma usome kwa masikitiko pia.
Hivi hawa wanawake kwanini ndio wanao ongoza kwa kupoteza simu? Hasa hawa wasio kunywa kilevi. Unakuta mtu analalamika eti simu sijui nmeisahau pale nilipokua nimekaa.
Najiuliza yale mabegi wanayo tembea nayo yanakazi gani? Unakuta ana begi sijui ndo mkoba, ndani yake kuna pochi, ndani ya pochi kuna pochi na ndani yake ndo kuna simu na simu yenyewe kaifunika na kitambaa eti isichafuke. Pamoja na kuihifadhi mbali bado utakuta screen imepasuka mara mfuniko wa betri haukai vizuri sijui inagoma kuwaka na kuzima.
Mbona sisi wanaume simu tunadumu nazo hadi zinachakaa? halafu mnasema wanaume hatujui kutunza vitu. mnaniudhi.
Lakini baada ya mwezi utasikia simu imepotea. Tatizo lao hata wakinyang'anywa njiani utasikia "peleka tuone kama shida zako zitaisha" haombi hata msaada. Yaani hawana uchungu na simu zao.
Basi wawe wanatumia simu za tochi kama walevi lakini hawataki. Wanaoongoza kwa kupoteza simu ndo hao hao wanataka simu za bei ghari.
Mimi nahisi wamerogwa.
Samahani dada zangu, Nawakalipia ili muwe makini na simu zenu. Mnawapa tabu wapenzi wenu kila mwezi kununua simu.
Pamoja na hayo yote bado nawapenda sana. Mmwaaaa....!!!!. mia
CC: my sweetheart Heaven on Earth, Baba lao kabanga Mh. everlenk mwallu Mapi Munkari Magurudumu
Hivi hawa wanawake kwanini ndio wanao ongoza kwa kupoteza simu? Hasa hawa wasio kunywa kilevi. Unakuta mtu analalamika eti simu sijui nmeisahau pale nilipokua nimekaa.
Najiuliza yale mabegi wanayo tembea nayo yanakazi gani? Unakuta ana begi sijui ndo mkoba, ndani yake kuna pochi, ndani ya pochi kuna pochi na ndani yake ndo kuna simu na simu yenyewe kaifunika na kitambaa eti isichafuke. Pamoja na kuihifadhi mbali bado utakuta screen imepasuka mara mfuniko wa betri haukai vizuri sijui inagoma kuwaka na kuzima.
Mbona sisi wanaume simu tunadumu nazo hadi zinachakaa? halafu mnasema wanaume hatujui kutunza vitu. mnaniudhi.
Lakini baada ya mwezi utasikia simu imepotea. Tatizo lao hata wakinyang'anywa njiani utasikia "peleka tuone kama shida zako zitaisha" haombi hata msaada. Yaani hawana uchungu na simu zao.
Basi wawe wanatumia simu za tochi kama walevi lakini hawataki. Wanaoongoza kwa kupoteza simu ndo hao hao wanataka simu za bei ghari.
Mimi nahisi wamerogwa.
Samahani dada zangu, Nawakalipia ili muwe makini na simu zenu. Mnawapa tabu wapenzi wenu kila mwezi kununua simu.
Pamoja na hayo yote bado nawapenda sana. Mmwaaaa....!!!!. mia
CC: my sweetheart Heaven on Earth, Baba lao kabanga Mh. everlenk mwallu Mapi Munkari Magurudumu
Last edited by a moderator: