Gaga
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 4,558
- 1,970
Hili nalo nenowanadeka mno siku hizi....
kufua mashine
kuosha vyombo mashine
kupika majjiko ya umeme
ma house girl wawili still....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili nalo nenowanadeka mno siku hizi....
kufua mashine
kuosha vyombo mashine
kupika majjiko ya umeme
ma house girl wawili still....
siamini kama kudeka ndo kuansababisha watu wajifungue kwa operation. Mie nimefanya kazi hadi siku ya mwisho kabisa, nimetoka ofcn kufika tu home nikaanza labor pain, lakini bado nlijifungua kwa kisu. Na you men are just talking, hamuujui uchungu wa kuzaa nyie acheni kujiongelesha yasiyo kuwa na maana. I wish one day Sir God angehamisha kauchungu kidogo tu kwa wababa, ndo mngejifunza kutuheshimu
He! we Laura! Tusaidiane vipi tena hapo jamani.