Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
Haya , sasa hii simu unachat nayo ni ya matron eeh, kajisomee dogo haya mambo ya ngono utakuja juta.Mtihan umevuja bado hatujamaliza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya , sasa hii simu unachat nayo ni ya matron eeh, kajisomee dogo haya mambo ya ngono utakuja juta.Mtihan umevuja bado hatujamaliza
Ngono isingekuwa mhimu basi nyege zingesubiri ndoa!Haya , sasa hii simu unachat nayo ni ya matron eeh, kajisomee dogo haya mambo ya ngono utakuja juta.
Kwani hazisubiri ndoa?Ngono isingekuwa mhimu basi nyege zingesubiri ndoa!
Mleta mada atawasaidiaTunaiomba hiyo mbadala mkuu
Tubebe nini?Khanga?[emoji1782][emoji1782][emoji1782]Cyo lazima mwanamke ubebe bhna....hata wanaume beben
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwani mnabanduana porini kiasi kwamba mkimaliza hata hamuogi, oeni acheni uzinzi
Unazungumzia nyege hizihizi au nyingine!Kwani hazisubiri ndoa?
Hakuna wanao oana bikra?
wewe na ukoo ama familia yako kama ni kizazi cha zinaa si kila mtu, eboo!
Unamlambisha tu🤣🤣🤣
Akizingua ww uwe unabeba Tishu kuonesha upo seriousMambo yanakwenda kasi sana!
Siku hizi wanawake waliowengi hawabebi vitambaa wala kanga za kujifutia baada ya kufanya mapenzi!
Sielewi wamepatwa na nini!
Mwanamke wa dizaini hii nilikuwa nikikutana naye asipokuwa na kanga, basi Mimi nilikuwa najifutia chupi yake!
Sasa siku hizi hali imekuwa ngumu zaidi baada ya wengi wso kuacha Kabisa kuvaa hata chupi zenyewe, Na hata wakizikumbuka wanavaa zile chupi za tandabui kama barakoa ambayo huwezi hata kujifutia!
Hakika wanawake mumeamua Lakini Poa!
Uzinzi ni gharama Sana mzee babaTubebe nini?Khanga?[emoji1782][emoji1782][emoji1782]
Kweli labda pengine mwenzetu anafanyaga gest bubu zile za kusimama hazina kitanda [emoji23][emoji23]Kwani mnabanduana porini kiasi kwamba mkimaliza hata hamuogi, oeni acheni uzinzi
Haa😁😂😀😄😄😃Ukiona mwanamke habebi khanga tafuta njia m'badala.