Braitfyucha
Senior Member
- Feb 22, 2019
- 163
- 187
Habarini wakuu,,
Niende mojakwamoja kwenye mada
Ni kweli kwamba wanawake ndoto yao kubwa huwa wanawaza kuolewa
Yani hilo hata halina mpinzani
wanawake siku zote wanawazaga katika fikira zao kuwa ipo siku atapata mume ataolewa atakuwa na familia yake(Women can't think beyond marriage).
Sasa siku hizi sijui ndo zama zimebadilika wanawake wengi wanafikiria kujiongoza,,wanafikiria kuwa na maisha yao,wanafikiria kujenga alafu wawaoe wanaume wanaopenda mtelemko
Cha ajabu pamoja na kuwa na mipango mikakati yote hiyo wanaishia kwenye kudanga tu
Kauli za wadada wengi utasikia anasema hataki ndoa,,hataki kuwa chini ya utawala wa mwanaume anataka kuwa na maisha yake
wakati huo hata uwezo wa kutafuta mia mbili hana anategemea kudanga kwa wanaume ili apate pesa.
Hata walio kwenye ndoa wanasema wamechoka manyanyaso ya wanaume eti wanataka kuwa na maisha yao
Ndo huwa nabaki najiuliza inamaana anataka kutoka kwenye ndoa aende mtaani kudanga?,
Kuna waliohitmu vyuo na kubahatika kupata kazi nzuri tu lakini maisha yao hayaeleweki kwakukosa mwanaume sahihi wakuwaongoza kama ni mimba basi wametoa sana mpaka wamechoka wakaamua kuzaa kiholela yaani unakuta ana watoto watatu kila mtoto na baba yake
Mwanaume anamchango mkubwa sana katika maendeleo ya mwanamke
wanawake mlioko kwenye ndoa acheni ukorofi,acheni kiburi
watiini waume zenu
Wadada ambao hamjaingia ktk maisha ya ndoa omba Mungu akupe mume wa kujenga nae familia
Usijidanganye unaweza kuishi tu hivyo hivyo utaishia kuiba waume za watu au kudanga alafu maisha yako yatakuwa mafupi zaidi.
ova..!
Sent using Jamii Forums mobile app
Niende mojakwamoja kwenye mada
Ni kweli kwamba wanawake ndoto yao kubwa huwa wanawaza kuolewa
Yani hilo hata halina mpinzani
wanawake siku zote wanawazaga katika fikira zao kuwa ipo siku atapata mume ataolewa atakuwa na familia yake(Women can't think beyond marriage).
Sasa siku hizi sijui ndo zama zimebadilika wanawake wengi wanafikiria kujiongoza,,wanafikiria kuwa na maisha yao,wanafikiria kujenga alafu wawaoe wanaume wanaopenda mtelemko
Cha ajabu pamoja na kuwa na mipango mikakati yote hiyo wanaishia kwenye kudanga tu
Kauli za wadada wengi utasikia anasema hataki ndoa,,hataki kuwa chini ya utawala wa mwanaume anataka kuwa na maisha yake
wakati huo hata uwezo wa kutafuta mia mbili hana anategemea kudanga kwa wanaume ili apate pesa.
Hata walio kwenye ndoa wanasema wamechoka manyanyaso ya wanaume eti wanataka kuwa na maisha yao
Ndo huwa nabaki najiuliza inamaana anataka kutoka kwenye ndoa aende mtaani kudanga?,
Kuna waliohitmu vyuo na kubahatika kupata kazi nzuri tu lakini maisha yao hayaeleweki kwakukosa mwanaume sahihi wakuwaongoza kama ni mimba basi wametoa sana mpaka wamechoka wakaamua kuzaa kiholela yaani unakuta ana watoto watatu kila mtoto na baba yake
Mwanaume anamchango mkubwa sana katika maendeleo ya mwanamke
wanawake mlioko kwenye ndoa acheni ukorofi,acheni kiburi
watiini waume zenu
Wadada ambao hamjaingia ktk maisha ya ndoa omba Mungu akupe mume wa kujenga nae familia
Usijidanganye unaweza kuishi tu hivyo hivyo utaishia kuiba waume za watu au kudanga alafu maisha yako yatakuwa mafupi zaidi.
ova..!
Sent using Jamii Forums mobile app