Wanawake wa sikuhizi nani amewaroga?

Wanawake wa sikuhizi nani amewaroga?

Kuna jamaa fundi baiskeli alimfungulia mkewe biashara ya mpunga
yule mwanamke akawa anatengeneza pesa ndefu kuzidi mume wake
mwanamke akakutana na wafanyabiashara wenye mitaji mikubwa wakampa kiburi akaanza kumdharau mumewe
alichokifanya jamaa akamuomba mke wake pesa zote za biashara na mpunga uliokuw umebak stock mashineni akaenda akauza kisirisiri pesa akachukua
alaf mwanamke akarudi tena kuwa mama wa nyumbani tu japo huyo mwanamke alikuw ameanza kugegedwa na wafanyabiashara wenzie .

ni wanawake wachache wanaoweza kupanda ngaz lakn wakaendelea kuwa na nidhamu kujishusha na kunyenyekea kwa waume zao

Sent using Jamii Forums mobile app
Sipingani nawe mkuu, na hilo pia liko hata kwa wanaume. Kumaintain nidhamu akishazishika huwa ni ngumu sana.
 
Umesema mwanaume ana mchango mkubwa kwenye maendeleo ya mwanamke?? Si kweli, kwa hilo umepuyanga. Kama unazungumzia maendeleo ya familia sawa lakini kama unaongelea maendeleo binafsi ya mwanamke si kweli, mwanamke akishaingia kwenye himaya ya mwanaume anakuwa si huru tena na kama amepata mwanaume ambae si mwelewa uchumi wake utakuwa umeishia hapo, career yake anaizika hapo na kila kitu kinachomhusu yeye binafsi anasahau anabaki kuwa msikilizaji mtulivu. Wanawake wengi waliofanikiwa ni wale walioko singo au walioolewa na wanaume waelewa wasiofinya uhuru wa wenza wao(ila wanaume wa hivi wako wachacheee)

Sent using Jamii Forums mobile app
Bora nikuoe mm Dada Katwe
 
Umesema mwanaume ana mchango mkubwa kwenye maendeleo ya mwanamke?? Si kweli, kwa hilo umepuyanga. Kama unazungumzia maendeleo ya familia sawa lakini kama unaongelea maendeleo binafsi ya mwanamke si kweli, mwanamke akishaingia kwenye himaya ya mwanaume anakuwa si huru tena na kama amepata mwanaume ambae si mwelewa uchumi wake utakuwa umeishia hapo, career yake anaizika hapo na kila kitu kinachomhusu yeye binafsi anasahau anabaki kuwa msikilizaji mtulivu. Wanawake wengi waliofanikiwa ni wale walioko singo au walioolewa na wanaume waelewa wasiofinya uhuru wa wenza wao(ila wanaume wa hivi wako wachacheee)

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna kitu hujamuelewa maana yake ni hivi hata hao ambao wameamua kuwa single na kuishi maisha yao bado akili yao inawaza kudanga na kupata mwanaume ambaye atamuwezesha kifedha ili achanganye na mshahara wake ajenge nyumba yake au alipe Kodi yaani Ni nadra kukuta mwanamke ameamua kujitegemea mwenyewe bila kutega mume wa mtu au buzi...

Kuhusu mfumo wa ndoa nakubali mwanaume ndo kichwa hivo kuolewa tyr inaweza kuwa changamoto km umekosa mtu muelewa au Kama pesa inakupa kiburi...

Wanawake mna force sana ndoa hasa kwa watu wasiowapenda sikuhizi tena mnajikuta nyie ndo mnajukumu la kupenda kuliko sisi hahahahaha tunawachora tu..



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Binadamu tunategemeana sana kama ambavyo tuna mchango kwao basi nao wana mchango kwetu. Mchango waweza kuwa hali au mali na kwa kiasi kikubwa pande zote mbili wanachangia sana kwenye maendeleo yetu ni vile tu tunakuwaga wabishi kulikubali hili.

Wanawake wengi wenye mafanikio ukiangalia historia iliyo nyuma yao huwa kuna nguvu ya mwanaume either posively au negatively na kumbuka mwanaume huyo aweza kuwa ni baba yake pia.

Negatively ni ile umekunyanyasa ukaamka ukaamua kupambana hadi ukatoboa, positively ni ile amekutia moyo akaongezea na pesa then ukapambana ukapasua. Upande wa kutupa sapoti kifedha wanaume wako vizuri, ni watoaji wazuri tu ukiachilia wale wenye roho za kimasikini

Sent using Jamii Forums mobile app
Leo naona mmekubali tu [emoji16][emoji16][emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uko sahihi kabisa mwenza, ila kumbuka hapa tunaongelea mume na sio wanaume wengine kama baba, mjomba n.k na hao waliotoboa kwa sababu ya waume zao ndio wale waliobahatika kuolewa na wanaume waelewa japo tabu iko palepale mwanamke akishaolewa majukumu yanadouble kama sio kutriple hivyo nafasi ya kutimiza ndoto binafsi bado inakuwa finyu. Kuhusu hao waliokuwa impacted negatively hao wapo ila inahitaji mtu mwenye strong will kitu ambacho si wote tumejaaliwa, si kila mtu ana uwezo wa kutoboa anapokutana na upinzani mkubwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndoto zako binafsi zipiiiiii mama Kama sio ubinafsi Huo yaani kwa mfano mumewe akuoe halafu awe na ndoto zake binafsi kweli jamani ndo tunaishi hivo???

Watu Wana join forces kutengeneza future ya pamoja unapoolewa ujue unaenda kushirikiana na mumewe kufanya mambo makubwa yenye manufaa pamoja sasa mambo ya ndoto zako binafsi Tena!!!!!!!!

Team working jamani tunaoa kupata msadizi sio sababu ya papachu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maisha ya uhuni yana muda wake .....na inafikia stage inabidi yaachwe......binafsi ni mtu ambae kitabu cha imani yangu ya dini hakipo mbali so karibia kila siku nakisoma ....ninachojua Mimi uzinzi dhambi na chukizo mbele ya muumba ......so siwezi kuwa nafanya uchafu tuuuuu siku zote za maisha yangu kwa kweli hilo hapana

Sent using Jamii Forums mobile app
Yap!kinachofanya mtu aonekane amekua sio tu idadi ya miaka aliyonayo bali ni badiliko la fikra na mitazamo ya maisha katika uhalisia
hata maandiko ya biblia yako wazi kabisa kila jambo lina wakati wake
kuna wakati vitu fulani fulani inabidi tuvitupe kule na ku focus future zaidi



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umesema mwanaume ana mchango mkubwa kwenye maendeleo ya mwanamke?? Si kweli, kwa hilo umepuyanga. Kama unazungumzia maendeleo ya familia sawa lakini kama unaongelea maendeleo binafsi ya mwanamke si kweli, mwanamke akishaingia kwenye himaya ya mwanaume anakuwa si huru tena na kama amepata mwanaume ambae si mwelewa uchumi wake utakuwa umeishia hapo, career yake anaizika hapo na kila kitu kinachomhusu yeye binafsi anasahau anabaki kuwa msikilizaji mtulivu. Wanawake wengi waliofanikiwa ni wale walioko singo au walioolewa na wanaume waelewa wasiofinya uhuru wa wenza wao(ila wanaume wa hivi wako wachacheee)

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi wanaume nao huwa wanamafanikio yao binafsi yasiyo na tija kwa wake na familia zao....?!

Kweli nimeamini, wanawake ni wabinafsi na mnauchoyo wa ajabu sijawahi kuona......

Ila no problem......lets wait and see, hii life style mnayoichochea one day mntakuja elewa waliosema wanawake watiini waume zenu na wanaume wapendeni wake zenu.. ....

Ipo siku...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uko sahihi kabisa mwenza, ila kumbuka hapa tunaongelea mume na sio wanaume wengine kama baba, mjomba n.k na hao waliotoboa kwa sababu ya waume zao ndio wale waliobahatika kuolewa na wanaume waelewa japo tabu iko palepale mwanamke akishaolewa majukumu yanadouble kama sio kutriple hivyo nafasi ya kutimiza ndoto binafsi bado inakuwa finyu. Kuhusu hao waliokuwa impacted negatively hao wapo ila inahitaji mtu mwenye strong will kitu ambacho si wote tumejaaliwa, si kila mtu ana uwezo wa kutoboa anapokutana na upinzani mkubwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba kuhoji tena! Hivi unaposema dreams/ndoto binafsi, una maanisha nini?! Je, wanaume wana ndoto /dreams binafsi?!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli ukiolewa uwezekano wa kutoboa sana ni mdogo unless umpate mume muelewa sanaaa, sio hawa wetu ambao ukimzidi elfu5 tu tayari umetangaza vita.

Lakini pia unajua mafanikio ya mwanamke tangu anapokuwa mdogo ni ndoa. Ndio maana mara nyingi kukuta mwanamke anafanya maendeleo binafsi akiwa hayupo kwenye ndoa ni nadra sana.

Kuna yule anayeona sio jukumu lake ataolewa na mwanaume mwenye pesa then atapata maendeleo.
Wa pili ni yule anayeona akifanikiwa sana atakosa wa kumuoa as wanaume watamuogopa. Kwakuwa akili zetu ziko centred kwenye ndoa ndio maana wanaume wanajiona miungu watu juu yetu.

Hapa mie naona mtoa mada anatishwa na maendeleo ya wanawake as anatambua tukitusua basi ile dhana ya wao kututawala itadidimia mwisho kufa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sorry, nina swali kwako?!

(a) Wewe ni muumini wa imani gani?!

(b)Kutokana jibu katika swali (a) hapo juu, je, wewe kama muumini, una maagano gani na MUNGU juu ya maisha yako hapa duniani?! Je agano lako kuu na yeye ni kuja kutafuta pesa ama ni vipi?!

(c) Ndoa ina uzito gani katika maisha yako, au una una ufahamu upi juu ya taasisi ndoa na misingi/nguzo yake/zake mikuu/kuu?!

(d)Familia yako inachukuliaje taasisi ndoa, je, ni jambo la lazima, hiyari, bahati mbaya?!

(e)Unaishi na wazazi waliopo katika ndoa rasmi au ni binti umekulelewa na mzazi m'moja, mtoto wa nje ya ndoa, zao la familia yenye mifarakano( broken family) au ni vipi?!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndoto zako binafsi zipiiiiii mama Kama sio ubinafsi Huo yaani kwa mfano mumewe akuoe halafu awe na ndoto zake binafsi kweli jamani ndo tunaishi hivo???

Watu Wana join forces kutengeneza future ya pamoja unapoolewa ujue unaenda kushirikiana na mumewe kufanya mambo makubwa yenye manufaa pamoja sasa mambo ya ndoto zako binafsi Tena!!!!!!!!

Team working jamani tunaoa kupata msadizi sio sababu ya papachu

Sent using Jamii Forums mobile app
Umefafanua vizuri sana mkuu,,chanzo cha ubinafsi ni dhambi na kwa bahati mbaya sana wanadamu tulianza kuwa wabinafsi tu baada ya kupungukiwa na utukufu wa Mungu
Ndoa nyingi sana leo hii ambazo mwanaume au mwanamke akiwa ni mbinafsi zinateseka sana na wakati mwingine zinafikia hatua ya kutalakia.

Mungu alibuni ndoa ili mume na mke washiriki hisia zao za mapenzi kwa furaha si watu wawili bali kitu kimoja(mwili mmoja)

Ndio maana kuna kuoana hii ina maana kwamba suala la kuoa ama kuolewa si la mtu mmoja tu bali linashihusisha mwanaume na mwanamke walioridhiana kujenga familia pamoja
kwahiyo wanakuwa kitu kimoja kiroho, matumaini,ndoto na malengo(Team)

Tunaposhiriki kama Team katika ndoa kila mmoja anakuw tayari kujitoa kwa mwenzake,,
kila mmoja ktk mahusiano anakuw yuko tayari kuwa sehemu ya changamoto yoyote anayopitia mwenzi wake na hapa ndipo upendo wa dhati huanza kuonekana




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom