Wanawake wa Tanzania ni Wazuri, ila Elizabeth Michael Lulu ni Mrembo kuliko wote nchini

Koti kuuuuubwa na zuri lakini lina MADOA na CHAWA.

Timu bora ambayo haijawahi kuvuka mpaka na kombe...ha ha ha, wacha maneno braza!
Chama bora cha siasa chenye kukataza siasa...una kejeli Lumumba wee!
 
nadhani waliumbwa wakati Maualana amechoka kwani kiukweli hawa mvuto kabisa Kwangu

Kuchoka sio sifa ya Maulana, yeye hachoki, wala hashindwi kwa lolote lile. Kuchoka ni sifa za viumbe ambavyo yeye ameviumba. Kwa hivyo tunaostahiki kuchoka ni sisi viumbe au vitu ambavyo tumevitengeneza wenyewe.

Nimewafikiana na wewe kwa asilimia zote baadhi ya mambo Kama Simba SC, FC Barcelona, mtandao bomba wa kijamii JF, Mwananchi na Citizen.. Bila kusahau huyo Mrembo, hakika Mungu ni mjuzi
 
Unapenda sana kujisifia
 
huyu huyu ama mwingine?
kama wasemanyo hakuna mkate mgumu mbele ya chai
tambieni pia hakuna msichana mbaya mbele ya pesa.
Tuangalie wengine pia huyu nae pesa zimemsaidia pia.

hawa bado wabichi kabisa, baada ya pesa sijui itakuwaje...
pesa achana nayo. Huyu hakuzaliwa na sura hii. Alikiwa hatazamiki ila after hela sasa sura ishakua hii. Ni jirani yangu home najua toka anazaliwa.

mwanaume halisi ndo huyu.

wote wanavutia..


Nitarudi ngoja niende break kwanza
 
Hebu nambazake kwanza labda sauti yake utakua na kasoro
 
Ukipita pita ktk safar zako nje ya mji nenda sehem moja chanika buyuni kwa mama lishe mmoja anaitwa mama Fatuma halaf umwangalie hyo Fatuma mwenyewe,,,kazi yake kuosha vyombo tu ndio utajua kuna wanawake waliumbwa mpk mungu akaamua siku inayofuata apumzike,,

19 yrs of age lakin balaa lake naamin akikatisha mitaa ya ushuani masaki unaweza sema ametoka Venezuela au Porto Rico,,hatar sana sana sana snaaaa hyo unaemsema sikuping kwa mawazo yako ila asee acha bhnaaaaa
 
Huyu mbona mkal zaidi yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…