Wanawake wa Tanzania ni Wazuri, ila Elizabeth Michael Lulu ni Mrembo kuliko wote nchini

Mkuu hivi pale UDBS huwa wanaangaliaga sura nini mana wote wazuri. .
Nendaa Coet huko ukakutane na wadada wenye sura chungu

Pale UDBS kuna masomo laini ndio maana wote wanakimbilia pale. Toka lini mrembo akaenda CoET? Mziki wake atauweza?
 
unamaanisha lulu mbilikimo aliyemuua kanumba?
 
Hilo ni kweli kabisa ila wako wazuri zaidi ya huyo mrembo. Kuanzia reception hadi umbo na kila kitu ni natural hakuna mkorogo wala tako la kubandika.
 
Hahahahahahahahahahahaha
Duh!
 
Hahahahahahahahahahaha

Kaamua apunzike!!duh!
 
Kifaa kutoka Rombo dada yangu kabisa huyu
Ila hiyo kesi bana waachane nayo tu imeshatokea imetokea na sio maksudi
 


My number one, huyu Hapa! Hakuna Demu mzuri kama huyu Dunia hii!

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…