Wanawake wa Tanzania ni Wazuri, ila Elizabeth Michael Lulu ni Mrembo kuliko wote nchini

Jamani Nargis Mohamed nae mrembo sana tena mrefuuuuu
 
Ndo huyo ,we unamwonaje ? Pia aliigiza movie ya yellow banana na Ray kigosi



Yupo vizuri

Mi nadhani mtoa uzi alimaanisha kwa wavumao sio generally

Unajua kuna mademu underground wakali sana

Ukitaka kujua tafuta michepuko ya matajiri ndio utajua

Luna watoto wapo tandale na mikoani huko isingekuwa kujipodoa na kujimek up ni wakali balaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…