Wanawake wa Tanzania ni Wazuri, ila Elizabeth Michael Lulu ni Mrembo kuliko wote nchini

mbona haoni ndani kwa jikate,naj,nana dollz video queen wa aslay, juxt to mention a few
 
Mkuu tunaomba ucheze kama pele tumuone kwa picha, watu tunaweza tukabadili vituo vya kula
Ntalifanyia kaz sbu week end nying napita pale na mara nying napita kule siku za ijumaaa na ijumaa hawafungui ila ntaanza kupita jmos ili nimchabo niiweke hapa
 
Kuna mabinti wengi warembo mno. Huyo anajulikana kwa kuwa ni maarufu na hufikiwa na vyombo vya Habari.
 
We kweli kipofu. Tembea uswazi ujionee. Huo uzuri wa kununua.
 
Wewe naona hujawahi kuona wasichana wazuri?? Tatizo makeup zina wadanganya na mapicha ya Instagram.
 
ona sasa, umeshanipa safari ya chanika kwenda kupata lunch kwa mama ntilie !
 
Mkuu hivi pale UDBS huwa wanaangaliaga sura nini mana wote wazuri. .
Nendaa Coet huko ukakutane na wadada wenye sura chungu
duuuh unaonea COET, nna chombo changu kimoja lulu haingii ndani miaka 100
 
ZAMAN pia ilikua DIT mademu walikua wachunguuuu ukicompare na CBE!sijajua kwa miaka ya karibunin]
Hahahaaa umenikumbusha mbali mkuu mademu wa DIT tulikuwa tunawaita calculator maana mademu wanashindia overall asee hapana
 
Basi huyu demu wakawaida sanaa nyie watu kuna visu kitaa ambavyo huwezi kuamini kama vinaexist bongo hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…