Wanawake wa Uswahilini wana Makalio Makubwa Sana

Wanawake wa Uswahilini wana Makalio Makubwa Sana

I dare to post thread openly..... mi ndio MCHUNGUZI HURU

Wadau huu ni uchunguzi wangu binafsi: Nimegundua kuwa wanawake wa Ushuani kama vile Masaki, Mbezi Beach n.k hawana MAKALIO MAKUBWA SANA kama wale wanawake wa Magomeni, Manzese, Temeke, Mbagala na Tandale.

Sijajua sababu ila ukweli ni kwamba wengi wana makalio makubwa na wanajua sana kukatika.

MCHUNGUZI HURU

Concurred with you 100%. ILA na akili zao ziko huko huko
 
haka kajamaa kana id kibao humu jamvini

ha ha ha ha ha ha ha
 
Ungempeleka Kariakoo katika maduka ya vipodozi....halafu umwambie mwenye duka akupe ile dawa inayoitwa HIP UP elfu 10,000 then angekua kwanini...naye angefutuka tuu..





mamangu mdogo anaishi Arusha, alipokuja dsm, tukiwa k'koo siku 1, akaniuliza: "weee ......, mbona kila binti wa dsm amefutuka nyuma, ni niaje?" Mi nilikosa jibu!
 
Mnaokota wapi hao? Mtoto wa Ruge atoe hatoi harufu, yaani marashi yote haya bado atoe harufu? Labda perfume.

Wee Michelle Obama na harufu, wapi na wapi? Mimama yenye neema usingizi nyororooo.....

m..a.ta.ko ya wastani ndo nzuri mwanamke anaonekana portable,kwanza wanene wana jasho sana na harufu
 
Uswahilini wanakula sana mafuta. Mchuzi umejaa mafuta kibao, chips kibandani zimetota mafuta, yaani in short wanakula sana mafuta. Sio makalio tu, na matumbo yao yamenona.
Unlike watoto wa kishua, wanakula chakula vizuri. We jaribu kuangalia tofauti ya chips za KFC na za vibandani uswazi, za uswazi mafuta matupu. So wanakula mafuta sana hiyo ni moja ya sababu nyingi
 
Back
Top Bottom