Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukute dira limechomekewa kwenye chupi, balaaa tupu.Uswahilini kuna raha yake.
Ahahaaa,we ni wa "USHUANI" au "KWA MARAPA"?Mhhh?makubwa?
haka kajamaa kana id kibao humu jamvini
ha ha ha ha ha ha ha
hii staili sijawahi kuiona mkuu. inakuwaje hiyo
Uswahilini wanakula sana mafuta. Mchuzi umejaa mafuta kibao, chips kibandani zimetota mafuta, yaani in short wanakula sana mafuta. Sio makalio tu, na matumbo yao yamenona.
Unlike watoto wa kishua, wanakula chakula vizuri. We jaribu kuangalia tofauti ya chips za KFC na za vibandani uswazi, za uswazi mafuta matupu. So wanakula mafuta sana hiyo ni moja ya sababu nyingi
I dare to post thread openly..... mi ndio MCHUNGUZI HURU
Wadau huu ni uchunguzi wangu binafsi: Nimegundua kuwa wanawake wa Ushuani kama vile Masaki, Mbezi Beach n.k hawana MAKALIO MAKUBWA SANA kama wale wanawake wa Magomeni, Manzese, Temeke, Mbagala na Tandale.
Sijajua sababu ila ukweli ni kwamba wengi wana makalio makubwa na wanajua sana kukatika.
MCHUNGUZI HURU
kalio ndo urithi ndo maana hawaendelei kifikra
Hiyo kubwa kulikoUmetisha.