Wanawake, waarabu, waislamu na wahamiaji wanaelekea kumpa Kamala Harris urais wa USA!

Wanawake, waarabu, waislamu na wahamiaji wanaelekea kumpa Kamala Harris urais wa USA!

Zanzibar-ASP

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2013
Posts
11,550
Reaction score
40,697
Amini au usiamini, kuna kila dalili kuwa huenda makundi ya wanawake, waarabu, waislamu na wahamiaji wanaelekea kumpa Kamala Harris urais wa USA kirahisi kabisa. H

Haya ndio maoni ya wachambuzi wengi wa siasa za USA katika muda wa mwisho kabisa kuelekea kupigwa kwa kura za mwisho siku ya kesho 5/November. Na hizi ndio sababu kubwa.

1. Wanawake wengi safari hii wamejitokeza kwenda kupiga kura.

2. Wademocratic wengi wameshajitokeza kupiga kura.

3. Kura za maoni za mwisho kabisa katika jimbo la Iowa zinaonyesha upepo umegeuka na kuna dalili kuchukuliwa na Democratic.

4. Sera za Kamala Haris zina mashiko mazuri kiasi kuhusu Gaza.

Soma: Yanayojiri kuelekea Uchaguzi Mkuu Marekani 2024: Nani kuibuka kidedea?
 
Hakuna dalili ya mabadiliko ya sera za nje za Marekani!

Inaonekana Marais wa US sio wanaoamua mambo!

Nilipoteza interest na siasa za US baada ya OBAMA kutoketa CHANGE aliyoahidi!
 
Kusema ukweli Harris anachukua na hii inaniuma sana. Nilitaka Trump ashinde kwasababu ndo mtetezi pekee kwetu sisi wagalatia.

Harris ni anti christ. Ila HAIJALISHI baada ya miaka minne mwamba gavana wa Florida Ron Desantis atakuwa rais 2028.

20241104_205320.jpg

20241104_205032.jpg
 
Trump asiposhinda, basi Baraka Obama anakuwa ameshinda urais awamu ya 4 sasa!
 
Kusema ukweli Harris anachukua na hii inaniuma sana. Nilitaka Trump ashinde kwasababu ndo mtetezi pekee kwetu sisi wagalatia.

Harris ni anti christ. Ila HAIJALISHI baada ya miaka minne mwamba gavana wa Florida Ron Desantis atakuwa rais 2028.

View attachment 3143623
View attachment 3143624
Ndugu unajidanganya sana kudhani Kamala ni anti christ na Trump ni Pro christ. Wote hao ni wanasiasa, na siku zote wanatengeneza sera ili kuwa win wapiga kura.
Hakuna mpenda Yesu anayefurahia ubaguzi, kuzusha uongo na kufurahia kuangamia kwa watu wengine. Trump amebeba hizo sifa na wafuasi wake wengi wana mlengo huo.
 
Hakuna dalili ya mabadiliko ya sera za nje za Marekani!

Inaonekana Marais wa US sio wanaoamua mambo!

Nilipoteza interest na siasa za US baada ya OBAMA kutoketa CHANGE aliyoahidi!
wewe ungeanza change ya kuandika katiba kama ilivyo katiba nzuri ya marekani. yaani hakuna mtu ambaye atakuwa above the law. sasa kama raisi na waziri mkuu hawashitakiwi kikatiba nyumbani kwako yeye obama ulitaka akupe change gani wewe.
 
Amini au usiamini, kuna kila dalili kuwa huenda makundi ya wanawake, waarabu, waislamu na wahamiaji wanaelekea kumpa Kamala Harris urais wa USA kirahisi kabisa. H

Haya ndio maoni ya wachambuzi wengi wa siasa za USA katika muda wa mwisho kabisa kuelekea kupigwa kwa kura za mwisho siku ya kesho 5/November. Na hizi ndio sababu kubwa.

1. Wanawake wengi safari hii wamejitokeza kwenda kupiga kura.

2. Wademocratic wengi wameshajitokeza kupiga kura.

3. Kura za maoni za mwisho kabisa katika jimbo la Iowa zinaonyesha upepo umegeuka na kuna dalili kuchukuliwa na Democratic.

4. Sera za Kamala Haris zina mashiko mazuri kiasi kuhusu Gaza.

Soma: Yanayojiri kuelekea Uchaguzi Mkuu Marekani 2024: Nani kuibuka kidedea?
Kuna tofauti kubwa sana kati ya kumpa urais na kumpigia kura za urais.
 
Back
Top Bottom