Wanawake wadangaji hatari sana. Unakunywa bia ya 1500 yeye anaagiza St Anna bila hata aibu

Wanawake wadangaji hatari sana. Unakunywa bia ya 1500 yeye anaagiza St Anna bila hata aibu

hapo unakuta mmekubalia 50k kama nauli na posho yake.. ila cha ajabu chakula, vinyaji chumba vinakula 50k nyingine... duh halafu ukijiangalia show yako sio kali kuvile hapo lazima ujiboost na viagra.maana wakati wa kucojoa unawaza hata mmbeba zege halipwi 50k kwa siku sasa huyu amekula 100k.. unaamua kuchoshana tu
 
Hapo ni km timu ipo kwenye pitch lzm timu ijue kukaba na kushambulia sasa wewe umeingia na mentality ya kushambulia pekee Na wao mentality yao daima ni kushambulia lzm uje ulalamike jombaa....... jifunze mitindo ya kukabia juu kwa juu usiruhusu ashambulie.Weka hela mezani mwambie hiki ndo kilichopo sasa aamue nini cha kufanya au aagiza kinywaji na chakula wewe usimpe nafasi ya kuchagua hii ndo inaitwa high line defensive😀😀
 
Hapo ni km timu ipo kwenye pitch lzm timu ijue kukaba na kushambulia sasa wewe umeingia na mentality ya kushambulia pekee Na wao mentality yao daima ni kushambulia lzm uje ulalamike jombaa....... jifunze mitindo ya kukabia juu kwa juu usiruhusu ashambulie.Weka hela mezani mwambie hiki ndo kilichopo sasa aamue nini cha kufanya au aagiza kinywaji na chakula wewe usimpe nafasi ya kuchagua hii ndo inaitwa high line defensive[emoji3][emoji3]
Aka kukabia shingoni
 
Yaani hayana hata aibu. Kisa tu umeliita mahala njoo ili upate kilaji alafu nikupige mashine.

Linaaagiza wine wakati lina njaa na matatizo lukuki.
Wavulana mnatia aibu, kama unataka kukojowa tu si wapo wanaouza hataki hata hiyo bia yako?

Jaribuni kukuwa basis punguzeni utoto, MMU kimekuwa Kijiwe cha hovyo sana siku hizi.
 
Back
Top Bottom