Wanawake wafupi wapo njema kuliko...

Wanawake wafupi wapo njema kuliko...

Hawa walilinganisha wanyama na watu WAREFU ( Twiga) WAFUPI (KIBOKO) ndio wakapata hiyo conclution.:A S-danger:
 
OMG!! hii lugha mbona me bado kuelewa maana yake? Belinda J nsaidie tafadhali.

Ni kamsemo tu nilikasikia basi ni common kuwachambua watu wafupi...Yani unaweza kusikia mtu anasema, aah yule Belinda ni kinchenchede kweli kweli...yani kadidimia/mfupi!!..
Ni slang ya mtaani!!
 
Duu hili jina nililisikia two years ago!! umenikumbushs mbali sana!!!

We acha tu, mwenyewe niliusikia kitaa mpaka leo haujanitoka..na best yangu tumezoea kuutumia ku-describe watu wafupi!!..sijui ulitoka wapi huu msemo!!
 
mie Teamo niko hiyo 5 feet 4 inches ...........sasa sijui utaniweka katika dunia ya wafupi au dunia ya average

5 feet si umempita hata hasheem? Sema uko 5 foot. Hii haina wingi. Kiswahili tunasema futi 5
 
wanawakew wafupi sana ni wabishi mno

Psychology inap-rove kuwa ufupi huwa una complications zake, watu wote wafupi wana tendency ya kujaribu kuonyesha kuwa na wao wapo, au wajulikane kuwa wapo, wakati in actul fact wanakuwa wapo. Ni inferiroty complex ya aina fulani huwa inawafanya wadhani kuwa hawapo wakti siyo kweli. Kuna siku (1997) Dr. Joyce Ndalichako aliwahi kufundisha somo kuhusu physical appearances za watu na ilipofika kwao ilibidi kwanza aombe msamaha kwa watu wote ambao wanahisi kuwa ni wafupi waliokuwemo darasani. Kuhusu wanawake wafupi na warefu, mwanamke mrefu mpole lakini ni mzembe, wanawake wafupi wakorofi lakini ni wachapa kazi sana! Samahani kwa makala hii kama kuna mtu haitamfurahisha!
 
Psychology inap-rove kuwa ufupi huwa una complications zake, watu wote wafupi wana tendency ya kujaribu kuonyesha kuwa na wao wapo, au wajulikane kuwa wapo, wakati in actul fact wanakuwa wapo. Ni inferiroty complex ya aina fulani huwa inawafanya wadhani kuwa hawapo wakti siyo kweli. Kuna siku (1997) Dr. Joyce Ndalichako aliwahi kufundisha somo kuhusu physical appearances za watu na ilipofika kwao ilibidi kwanza aombe msamaha kwa watu wote ambao wanahisi kuwa ni wafupi waliokuwemo darasani. Kuhusu wanawake wafupi na warefu, mwanamke mrefu mpole lakini ni mzembe, wanawake wafupi wakorofi lakini ni wachapa kazi sana! Samahani kwa makala hii kama kuna mtu haitamfurahisha!
Hapo kwenye bluu ndiyo umefanya nini???? Hapo kwenye nyekundu naomba nikusahihishe, sio wote ..........................:nono:
 
Nifahamuvyo mie VICHENCHEDE ni vibinti vidogo vidogo ambavyo wakati mwingine huitwa SOSPA (Sexual Offense Special Provision Act)
 
WOMEN'S HEIGHT,REPRODUCTIVE SUCCESS AND THE EVOLUTION OF SEXUAL DIMORPHISM IN MODERN HUMANS
Received 28 May 2002
Accepted 12 June 2002
Published online 13 August 2002
 

Attachments

Back
Top Bottom