Wanawake wajawazito wa kileo wanatembea nusu uchi, hakika wanatubaka kisaikolojia, tunateseka wanaume

Wanawake wajawazito wa kileo wanatembea nusu uchi, hakika wanatubaka kisaikolojia, tunateseka wanaume

Loading failed

JF-Expert Member
Joined
Sep 14, 2023
Posts
2,603
Reaction score
7,501
Watakuja watu wajinga hapa kutetea wanawake wajawazito kutembeana na magauni ya nusu uchi siyo akili zao bali ni kiumbe kilichopo tumboni ila jiulizeni kwani Mama zetu hizo mimba hawakuzibeba tukazaliwa sisi na wao waliwezaje kujisitiri na kama mnasema siyo akili zao kwanini hao wanawake wavaa nusu uchi wakiwa na mimba basi wanakumbuka kwenda washroom ni kwanini wasijikojolee na kujisaidia kinyesi nguoni ili tujue ni mimba zinavyotaka ?

Pia ndugu tujiulize huu uhalali wa wanawake wajawazito wa kileo kuvalia mavazi ya nusu uchi kwa kasi sana wanaupata wapi, je ndiyo mimba na homoni za siku hizi zinavyotaka mimba kutembezwa nusu uchi?

Tukirejea kumbukumbu za nyuma mama zetu miaka na miaka iliyopita walikua wanavaa magauni makubwa makubwa au kujitanda khanga/ vitenge mwili mzima pindi wawapo wajawazito ili kujisitiri vizuri lakini kwa kizazi cha sasa imekua ndivyo sivyo , wanawake wanatembea uchi na mimba zao hakika

Ndugu ukiwa karibu na vituo vya afya / clinic za wajawazito utathibitisha hili , hakika utakutana na wimbi kubwa la wanawake wajawazito wanao valia nguo za nusu uchi mpaka zingine zinakaribia usawa wa kuona kitumbua manyoya , utakuta mapaja yote yapo nje waziwazi , huu ni ukatili dhidi ya wanaume na mtoto aliyeko tumboni hakika ni unyanyasaji na ubakaji wa wanaume kiakili unaofanya na dada zetu wajawazito

Ndugu ukiwaangalia wanawake hawa kwa mbele unaina kabisa hakuendeki tumbo lipo kule huku kanguo huku mbele kamenyanyuka namna hii , ukisema uangalie kwa nyuma akiwa mbele yako ndo mbaya zaidi hakuendeki hata kidogo ni uchi uchi waziwazi hakika, hakika na waambieni tunabakwa kisaikolojia ndugu zangu, hawa wanawake wanatufanyia makusudi wanatuvalia vigauni vya kuwaacha uchi makusudi ili wanaume tuteseke na maumbile yao tuwatamani na tuwalale. Tujiulizeni Je, mimba za sasa ndo zinavyotaka kutembezwa uchi huko kwenye vituo vya afya ?

Mbaya zaidi utakuta mdada na mimba yake kavaa nusu uchi kaachia miguu na mapaja yote nje ilihali ni membamba , madoti madoti na mibovu kupindukia, shapeless huku wengine nguo zao za ndani zikionekana chafu kupita kiasi na hata wengine zikiwa zimechanika / kufumuka, je, mimba za sasa ndo zinavyotaka au ni ulimbukeni wao?

Pia wako hawa wenye mashepu ndo wanatubaka kabisa kiakili hii ni dhuluma ndugu zangu , wanaume tunadhulumiwa mioyo yetu na hawa wajawazito wanaotembea nusu uchi

Ni malize kwa kusema; ni aibu kubwa na kukosa adabu kwa mwanamke mjamzito kutembea na nguo za nusu uchi na ni kudhulumu saikolojia ya wanaume, pia ni aibu kwa mume / mwanaume aliyempa mimba, unaonyesha jamii mwanaume wako hajitambui na kaamua kuzaa na ma-layer mwanamke asie na adabu hata kidogo.

Pia ni aibu na dharau kwa mwanaume kukubali kuongoza na mwanamke wake mjamzito aliyevalia nusu uchi, sisi wanaume wenzako tunakudharau sana tunakuona wewe ni lijinga na watoto pia wanakudharau kupita kiasi haijalishi tunabakwa kiakili namna gani ila tunakudharau na huyo mkeo tutamla tuu na mimba yake siku siyo nyingi haiwezekani atuonyeshe utamu ndani ya nguo zenye utata alafu tumuache kilaini na wale vijana wa hovyo ukae ukijua watamtumia kama demo ya kupigia punyeto.

WANAWAKE JISITIRINI MKIWA NA MIMBA ACHENI KUTUBAKA KISAIKOLOJIA WANAUME
 
kuna mmoja tulikutana hospital alivaa kigauni chakitenge cha mwendokasi kako kwenye mapaja ana tumbo kubwa la miezi tisa akiamka ana kaz ya kukishusha shusha akikaa anakisogeza tukamwambia kwani ulivalishwa namtu hiyo nguo? huna hata kitenge au kanga? kwa aibu alitoa kanga kwenye mkoba akahudumiwa akaondoka una point tena nzuri tu sasa hata sio mtoto anayemtuma avae hivo kwan anaelewa kinachoendelea outside world?? lakini poleni
 
kuna mmoja tulikutana hospital alivaa kigauni chakitenge cha mwendokasi kako kwenye mapaja ana tumbo kubwa la miezi tisa akiamka ana kaz ya kukishusha shusha akikaa anakisogeza tukamwambia kwani ulivalishwa namtu hiyo nguo? huna hata kitenge au kanga? kwa aibu alitoa kanga kwenye mkoba akahudumiwa akaondoka una point tena nzuri tu sasa hata sio mtoto anayemtuma avae hivo kwan anaelewa kinachoendelea outside world?? lakini poleni
wamekuwa wajinga kweli vigauni wanashona vifupi sijui ndio mimba zinawapelekesha
 
kuna mmoja tulikutana hospital alivaa kigauni chakitenge cha mwendokasi kako kwenye mapaja ana tumbo kubwa la miezi tisa akiamka ana kaz ya kukishusha shusha akikaa anakisogeza tukamwambia kwani ulivalishwa namtu hiyo nguo? huna hata kitenge au kanga? kwa aibu alitoa kanga kwenye mkoba akahudumiwa akaondoka una point tena nzuri tu sasa hata sio mtoto anayemtuma avae hivo kwan anaelewa kinachoendelea outside world?? lakini poleni
Nyie mlikosea mlitakiwa kumza ua makofi kwanza arudi nyumbani akatie akili kumukichwa ndio aje tena hospital
 
Watakuja watu wajinga hapa kutetea wanawake wajawazito kutembeana na magauni ya nusu uchi siyo akili zao bali ni kiumbe kilichopo tumboni ila jiulizeni kwani Mama zetu hizo mimba hawakuzibeba tukazaliwa sisi na wao waliwezaje kujisitiri na kama mnasema siyo akili zao kwanini hao wanawake wavaa nusu uchi wakiwa na mimba basi wanakumbuka kwenda washroom ni kwanini wasijikojolee na kujisaidia kinyesi nguoni ili tujue ni mimba zinavyotaka ?

Pia ndugu tujiulize huu uhalali wa wanawake wajawazito wa kileo kuvalia mavazi ya nusu uchi kwa kasi sana wanaupata wapi, je ndiyo mimba na homoni za siku hizi zinavyotaka mimba kutembezwa nusu uchi?

Tukirejea kumbukumbu za nyuma mama zetu miaka na miaka iliyopita walikua wanavaa magauni makubwa makubwa au kujitanda khanga/ vitenge mwili mzima pindi wawapo wajawazito ili kujisitiri vizuri lakini kwa kizazi cha sasa imekua ndivyo sivyo , wanawake wanatembea uchi na mimba zao hakika

Ndugu ukiwa karibu na vituo vya afya / clinic za wajawazito utathibitisha hili , hakika utakutana na wimbi kubwa la wanawake wajawazito wanao valia nguo za nusu uchi mpaka zingine zinakaribia usawa wa kuona kitumbua manyoya , utakuta mapaja yote yapo nje waziwazi , huu ni ukatili dhidi ya wanaume na mtoto aliyeko tumboni hakika ni unyanyasaji na ubakaji wa wanaume kiakili unaofanya na dada zetu wajawazito

Ndugu ukiwaangalia wanawake hawa kwa mbele unaina kabisa hakuendeki tumbo lipo kule huku kanguo huku mbele kamenyanyuka namna hii , ukisema uangalie kwa nyuma akiwa mbele yako ndo mbaya zaidi hakuendeki hata kidogo ni uchi uchi waziwazi hakika, hakika na waambieni tunabakwa kisaikolojia ndugu zangu, hawa wanawake wanatufanyia makusudi wanatuvalia vigauni vya kuwaacha uchi makusudi ili wanaume tuteseke na maumbile yao tuwatamani na tuwalale. Tujiulizeni Je, mimba za sasa ndo zinavyotaka kutembezwa uchi huko kwenye vituo vya afya ?

Mbaya zaidi utakuta mdada na mimba yake kavaa nusu uchi kaachia miguu na mapaja yote nje ilihali ni membamba , madoti madoti na mibovu kupindukia, shapeless huku wengine nguo zao za ndani zikionekana chafu kupita kiasi na hata wengine zikiwa zimechanika / kufumuka, je, mimba za sasa ndo zinavyotaka au ni ulimbukeni wao?

Pia wako hawa wenye mashepu ndo wanatubaka kabisa kiakili hii ni dhuluma ndugu zangu , wanaume tunadhulumiwa mioyo yetu na hawa wajawazito wanaotembea nusu uchi

Ni malize kwa kusema; ni aibu kubwa na kukosa adabu kwa mwanamke mjamzito kutembea na nguo za nusu uchi na ni kudhulumu saikolojia ya wanaume, pia ni aibu kwa mume / mwanaume aliyempa mimba, unaonyesha jamii mwanaume wako hajitambui na kaamua kuzaa na ma-layer mwanamke asie na adabu hata kidogo.

Pia ni aibu na dharau kwa mwanaume kukubali kuongoza na mwanamke wake mjamzito aliyevalia nusu uchi, sisi wanaume wenzako tunakudharau sana tunakuona wewe ni lijinga na watoto pia wanakudharau kupita kiasi haijalishi tunabakwa kiakili namna gani ila tunakudharau na huyo mkeo tutamla tuu na mimba yake siku siyo nyingi haiwezekani atuonyeshe utamu ndani ya nguo zenye utata alafu tumuache kilaini na wale vijana wa hovyo ukae ukijua watamtumia kama demo ya kupigia punyeto.

WANAWAKE JISITIRINI MKIWA NA MIMBA ACHENI KUTUBAKA KISAIKOLOJIA WANAUME
Ubongo wako ndiyo, shida. Ndiyo maana huko Njombe kidume kabaka, kiswahili halisi, kanajisi ng'ombe. Hata kama mwanamke atatembea uchi wa mnyama, kama akili yako iko focused kwenye mambo mengine wala hujisumbui. Ila ukiwaza ngono hata mbwa wakipandana barabarani utaanza kuleta threads. Wenye mbwa wafungie mbwa wao.
 
Back
Top Bottom