litutumbwe
JF-Expert Member
- Mar 13, 2023
- 642
- 1,303
ππππππ kwamba linaanza kuleta tena nyodo?
Aiseee sema huwa sijui wana shida gani na ukilitongoza linakataaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aiseee sema huwa sijui wana shida gani na ukilitongoza linakataaa
sisi hatukua na haja ya kumpiga tulitaka kumfundisha tu next time ajue namna ya kuvaa na sikupatapo kumuona tena yule dada ninamatumaini atakua alipata cha kujifunzaMna moyo wengine wangempa kibao
Kwetu Kuna mama mmoja ni yule mkunga wa zamani akastaafu wakamuomba awe anahudum klinik yaani wadada walinyooka
Kuanzia kuanza klinik had unapokuja na mtoto kliniki ole wako uje na kimin au kisuruali mara kitop mara manywele timtim aisee utaondoka Kwa aibu na hutarudia
Kuna Ile wadada kwenda kilinik na watoto kishua han hata kanga ya akiba nafikir Kam yupo hai Kila mwanamke aliepita pale alikaa sawa
Napenda utaratibu wa Amana hospital niliwahi kwenda pale clinic moja kwa referral nikashangaa kila mtu ana bag la mgongoni ikabidi nimuulize mmoja kwa nn kila anaekuja clinic ana bag akasema pale ni utaratibu ukiwa na miezi sikumbuki mingapi ukienda pale lazima uwe na delivery kit na kanga kwenye hilo bag ndio wakuhudumie nikaona ni nzuri mno, ila wanawake wa sasa mimba sijui nayo imekua fashion au ulimbukeniInasikitisha sana kwakweli
Kizaz hiki sijui tupoje
Tulikuwa tunaenda sehemu km wanne mmoja mjamzito kumbe mimba Ilikuwa inamsumbua alaf kavaa kigauni kifupi kufika kwenye daladala tumesimama damu zikaanza kumvuja aisee na hakuwa hata na kanga na vile tumesimama akaanza kuhangaika bahat nzuri tulikaribia kushuka ikabidi tumstiri
Kuna namna tujiangalie hatuko sawa
Hao wamefanya vizuriNapenda utaratibu wa Amana hospital niliwahi kwenda pale clinic moja kwa referral nikashangaa kila mtu ana bag la mgongoni ikabidi nimuulize mmoja kwa nn kila anaekuja clinic ana bag akasema pale ni utaratibu ukiwa na miezi sikumbuki mingapi ukienda pale lazima uwe na delivery kit na kanga kwenye hilo bag ndio wakuhudumie nikaona ni nzuri mno, ila wanawake wa sasa mimba sijui nayo imekua fashion au ulimbukeni
a menβas a men, don't prove your weakness mbele ya mwanamke.
picha tuone za hao wanawake wa mjini huku vudee milimani bado hatujaonaWatakuja watu wajinga hapa kutetea wanawake wajawazito kutembeana na magauni ya nusu uchi siyo akili zao bali ni kiumbe kilichopo tumboni ila jiulizeni kwani Mama zetu hizo mimba hawakuzibeba tukazaliwa sisi na wao waliwezaje kujisitiri na kama mnasema siyo akili zao kwanini hao wanawake wavaa nusu uchi wakiwa na mimba basi wanakumbuka kwenda washroom ni kwanini wasijikojolee na kujisaidia kinyesi nguoni ili tujue ni mimba zinavyotaka ?
Pia ndugu tujiulize huu uhalali wa wanawake wajawazito wa kileo kuvalia mavazi ya nusu uchi kwa kasi sana wanaupata wapi, je ndiyo mimba na homoni za siku hizi zinavyotaka mimba kutembezwa nusu uchi?
Tukirejea kumbukumbu za nyuma mama zetu miaka na miaka iliyopita walikua wanavaa magauni makubwa makubwa au kujitanda khanga/ vitenge mwili mzima pindi wawapo wajawazito ili kujisitiri vizuri lakini kwa kizazi cha sasa imekua ndivyo sivyo , wanawake wanatembea uchi na mimba zao hakika
Ndugu ukiwa karibu na vituo vya afya / clinic za wajawazito utathibitisha hili , hakika utakutana na wimbi kubwa la wanawake wajawazito wanao valia nguo za nusu uchi mpaka zingine zinakaribia usawa wa kuona kitumbua manyoya , utakuta mapaja yote yapo nje waziwazi , huu ni ukatili dhidi ya wanaume na mtoto aliyeko tumboni hakika ni unyanyasaji na ubakaji wa wanaume kiakili unaofanya na dada zetu wajawazito
Ndugu ukiwaangalia wanawake hawa kwa mbele unaina kabisa hakuendeki tumbo lipo kule huku kanguo huku mbele kamenyanyuka namna hii , ukisema uangalie kwa nyuma akiwa mbele yako ndo mbaya zaidi hakuendeki hata kidogo ni uchi uchi waziwazi hakika, hakika na waambieni tunabakwa kisaikolojia ndugu zangu, hawa wanawake wanatufanyia makusudi wanatuvalia vigauni vya kuwaacha uchi makusudi ili wanaume tuteseke na maumbile yao tuwatamani na tuwalale. Tujiulizeni Je, mimba za sasa ndo zinavyotaka kutembezwa uchi huko kwenye vituo vya afya ?
Mbaya zaidi utakuta mdada na mimba yake kavaa nusu uchi kaachia miguu na mapaja yote nje ilihali ni membamba , madoti madoti na mibovu kupindukia, shapeless huku wengine nguo zao za ndani zikionekana chafu kupita kiasi na hata wengine zikiwa zimechanika / kufumuka, je, mimba za sasa ndo zinavyotaka au ni ulimbukeni wao?
Pia wako hawa wenye mashepu ndo wanatubaka kabisa kiakili hii ni dhuluma ndugu zangu , wanaume tunadhulumiwa mioyo yetu na hawa wajawazito wanaotembea nusu uchi
Ni malize kwa kusema; ni aibu kubwa na kukosa adabu kwa mwanamke mjamzito kutembea na nguo za nusu uchi na ni kudhulumu saikolojia ya wanaume, pia ni aibu kwa mume / mwanaume aliyempa mimba, unaonyesha jamii mwanaume wako hajitambui na kaamua kuzaa na ma-layer mwanamke asie na adabu hata kidogo.
Pia ni aibu na dharau kwa mwanaume kukubali kuongoza na mwanamke wake mjamzito aliyevalia nusu uchi, sisi wanaume wenzako tunakudharau sana tunakuona wewe ni lijinga na watoto pia wanakudharau kupita kiasi haijalishi tunabakwa kiakili namna gani ila tunakudharau na huyo mkeo tutamla tuu na mimba yake siku siyo nyingi haiwezekani atuonyeshe utamu ndani ya nguo zenye utata alafu tumuache kilaini na wale vijana wa hovyo ukae ukijua watamtumia kama demo ya kupigia punyeto.
WANAWAKE JISITIRINI MKIWA NA MIMBA ACHENI KUTUBAKA KISAIKOLOJIA WANAUME
Siyo kweliNi yale yale magauni yetu ya kawaida ila tukiwa wajawazito yanainuliwa na tumbo.
Ila jamani kuna kagauni ukikaona unatamani ubebe ujauzito ukavae yaaniπππ
Mojawapo la toto lililozaliwa na mama anayepiga picha uchi akionesha tumbo lake limekuja jitetea.Hakuna uhusiano
Na hakuna Siri ya zaidi ya mtu mmojaBro kwa sasa sehemu za Siri ni Moyo, mapafu na figo.
Uchi wa mbele na nyuma wa mwanamke sio sehemu za Siri Tena.
Wafuasi wa Baltazar Ebang EgongaNa sikuhizi hamuwaonei huruma mnapita nao....
Vipanga..
Kutetea maadili ni kupiga vita rushwa, ufisadi na ngono kwa watoto. Mengine yote mbwembwe tu, wajawazito wake za watu wanakuhusu nini.Nimekuja kujua j forum ni sawa na magroup ya WhatsApp ya ngono humu wastaarabu na wenye kutetea maadili ni wachache sana
Mada yako nzuri ila nasikitika kuona wachangiaji sio wa level yako takataka
Focused wap wewe? Ulushawah kupita kwenye nyumba ina vioo usijiangalie? Mleta maada ana hoja bwana kuna mambo mwanaume hawez kuvunga man!Ubongo wako ndiyo, shida. Ndiyo maana huko Njombe kidume kabaka, kiswahili halisi, kanajisi ng'ombe. Hata kama mwanamke atatembea uchi wa mnyama, kama akili yako iko focused kwenye mambo mengine wala hujisumbui. Ila ukiwaza ngono hata mbwa wakipandana barabarani utaanza kuleta threads. Wenye mbwa wafungie mbwa wao.
Vipi mwanao alikivaa hivyo?Focused wap wewe? Ulushawah kupita kwenye nyumba ina vioo usijiangalie? Mleta maada ana hoja bwana kuna mambo mwanaume hawez kuvunga man!