Wanawake wajawazito wa kileo wanatembea nusu uchi, hakika wanatubaka kisaikolojia, tunateseka wanaume

Kuna mmoja tulikuwa tunafanya kazi offisi moja, kabla ya mimba alikuwa na akili zake timamu tu, anavaa vizuri. Ila alivyopata mimba kitumbo kilivyoanza kushuka. Anavaa magauni ya kitenge kama shati hivi, yaani akitembea tight inaonekana kabisa sasa usiombe ainame au akae kilakitu waziii
 
sisi hatukua na haja ya kumpiga tulitaka kumfundisha tu next time ajue namna ya kuvaa na sikupatapo kumuona tena yule dada ninamatumaini atakua alipata cha kujifunza
 
Napenda utaratibu wa Amana hospital niliwahi kwenda pale clinic moja kwa referral nikashangaa kila mtu ana bag la mgongoni ikabidi nimuulize mmoja kwa nn kila anaekuja clinic ana bag akasema pale ni utaratibu ukiwa na miezi sikumbuki mingapi ukienda pale lazima uwe na delivery kit na kanga kwenye hilo bag ndio wakuhudumie nikaona ni nzuri mno, ila wanawake wa sasa mimba sijui nayo imekua fashion au ulimbukeni
 
Hao wamefanya vizuri
 
Ni yale yale magauni yetu ya kawaida ila tukiwa wajawazito yanainuliwa na tumbo.
Ila jamani kuna kagauni ukikaona unatamani ubebe ujauzito ukavae yaaniπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
picha tuone za hao wanawake wa mjini huku vudee milimani bado hatujaona
 
Nimekuja kujua j forum ni sawa na magroup ya WhatsApp ya ngono humu wastaarabu na wenye kutetea maadili ni wachache sana

Mada yako nzuri ila nasikitika kuona wachangiaji sio wa level yako takataka
Kutetea maadili ni kupiga vita rushwa, ufisadi na ngono kwa watoto. Mengine yote mbwembwe tu, wajawazito wake za watu wanakuhusu nini.
 
PICHA YA MWANAMKE MJAMZITO ALIE UCHI IKO WAPI NDG MLETA MAADA MAANA WENGINE JATUJUI KUSOMA INATAKIWA TUANGALIE PICHA
 
Focused wap wewe? Ulushawah kupita kwenye nyumba ina vioo usijiangalie? Mleta maada ana hoja bwana kuna mambo mwanaume hawez kuvunga man!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…