Mko Afghanistan kwa Taliban?Mna moyo wengine wangempa kibao
Kwetu Kuna mama mmoja ni yule mkunga wa zamani akastaafu wakamuomba awe anahudum klinik yaani wadada walinyooka
Kuanzia kuanza klinik had unapokuja na mtoto kliniki ole wako uje na kimin au kisuruali mara kitop mara manywele timtim aisee utaondoka Kwa aibu na hutarudia
Kuna Ile wadada kwenda kilinik na watoto kishua han hata kanga ya akiba nafikir Kam yupo hai Kila mwanamke aliepita pale alikaa sawa
Tuliza wengeMojawapo la toto lililozaliwa na mama anayepiga picha uchi akionesha tumbo lake limekuja jitetea.
Pumbavu.
Wana joto fulani hivi amazingwajawazito watamu asikwambie mtu.....
Wote wale wale kama nilivyosemaKutetea maadili ni kupiga vita rushwa, ufisadi na ngono kwa watoto. Mengine yote mbwembwe tu, wajawazito wake za watu wanakuhusu nini.
St Kayumba haoa men❎
a man✅